KRISMAS NA MLA CHA MWENZIE
![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3Ok47WWRL6B09kIRfkCclcGvBqEtlEztjvcq3dkqso0EyltNg-4wB9PglgBjTXvsvyv3m7XA-AaevvrpKcBcCDGX/elizabetholsen7.jpg?width=650)
Naam wapendwa wa kona yetu ya michano, ningekuwa kwenye gemu la muziki ningejiita mama wa michano yaani muziki wa wagumu, usioogopa mtu yoyote atakayejipendekeza inampa kubwa. Najua kesho ni sikukuu kila mtu amejiandaa kufanya kamamuzi ya kufa mtu au sio jamani? Utakuta kuna mtu ana ofa zaidi ya kumi na kujiuliza aende ipi na aiache ipi, wapo ambao sikukuu itawaishia vibaya na kujuta kugida vitu vya watu maana vitawatokea puani....
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Viongozi wa Chuo cha Kiislamu cha Imam Swadiq watoa salamu za Krismas
Sheikh Hemed Jalala akiongea na waandhishi wa habari (hawapo pichani).
Sheikh Hemed Jalala akisisitiza jambo.
Waandishi wa habari wakichukua matukio.
Viongozi wa Chuo cha Kiislam cha Imam Swadiq, watoa salamu za pongezi kwa Wakristo katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas.
Sheikh Hemed Jalala alisema: “Wakristo ni ndugu zetu kwa msingi mkuu wa ubinadamu, hivyo umoja wa kijamii na kitaifa unaunganishwa na ubinadamu na si itikadi.”
(Habari/Picha: Gabriel Ng’osha)
10 years ago
Michuzi21 Dec
KIOTA KIPYA CHA MARAHA CHA UEFA GOO NIGHT CLUB KUZINDULIWA MKESHA WA KRISMAS
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/38.jpg)
10 years ago
MichuziJokate Mwegelo atoa Zawadi za Krismas na Mwaka Mpya kwa Kituo cha Yatima cha Extrem, Tandare
Mrembo huyo ambaye pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Kidoti inayojihusisha na masuala ya urembo, alitoa msaada huo kama zawadi yake ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya kwa watoto hao kama sehemu ya kuwafariji ili nao kujiona wako sawa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-GQo7Ia7XFRk/VXyUp4GAjcI/AAAAAAAAvtM/vesdtuA4n5U/s72-c/not%2Brait.jpg)
KIVAZI KILICHO TAMBA KWENYE KILIMANJARO MUSIC AWARD NI HIKI CHA MZAZI MWENZIE MH. SUGU
![](http://2.bp.blogspot.com/-GQo7Ia7XFRk/VXyUp4GAjcI/AAAAAAAAvtM/vesdtuA4n5U/s640/not%2Brait.jpg)
Baada ya Lile vazi alilovaa Siku ya All White Party ya Zari Kuleta Ngumzo Mitandaoni ..Leo Tena Mwanadada Faiza Ally Amekuja na Mpya Kwenye Tuzo za KTMA...Baadhi ya Watu Wamekerwa na Vazi Hilo na Kusema Yafuatayo:Angelayubu Loooh shoga ata kama umaarufu umezidi iyo sasa shombo
Jestina George Sina kawaida hii lakini leo wacha niseme Faiza jamani why?? Not on the red carpet my love Noti Raiti kabisa mamii ake!!! I appreciate ubunifu wako but this is a NO! NO! Juu na mbele sawa kidogo huko nyuma...
9 years ago
MichuziRais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli Atoa Mkono wa Krismas na Mwaka Mpya kwa Wazee wa Kijiji cha Welezo Zanzibar.
Mlukulu wa Ikulu Zanzibar Ndg Ameir Ali Khatib akimkabidhi Mbuzi Sister Mary Gemma wa kituo cha Wazee Welezo, hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya Wazee hao Welezo Zanzibar, Vyakula hivyo vimetolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kwa ajili ya Wazee hao kujumuiika na Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya.
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Mamba mla watu auawa Morogoro
10 years ago
VijimamboNYALANDU AKAGUA MADHARA YA MAMBA MLA WATU MASASI
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akimsikiliza diwani wa Nhavila, wilayani Masasi, Meja Ramadhan Chilumba, jana, katika sehemu ya mto, wakati waziri huyo alipotembelea mto Ruvuma katika kijiji cha Manyuli ambako alitembelea watu waliojeruhiwa na wengine kuuawa na mamba, alipokwenda kutoa kifuta machozi kutoka wizarani kwake.
10 years ago
Habarileo15 Jun
Shule yafungwa kwa hofu ya simba mla watu
SHULE ya Msingi Saadani Chumvi iliyopo Kata ya Mkange wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, imefungwa baada ya wazazi kuwa na hofu baada ya watu wawili na mbuzi 70 kuliwa na Simba kutoka kwenye Hifadhi ya Taifa ya Saadani.
10 years ago
MichuziWaziri NYALANDU AKAGUA MADHARA YA MAMBA MLA WATU MASASI
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akimsikiliza diwani wa Nhavila, wilayani Masasi, Meja Ramadhan Chilumba, jana, katika sehemu ya mto, wakati waziri huyo alipotembelea mto Ruvuma katika kijiji cha Manyuli ambako alitembelea watu waliojeruhiwa na wengine kuuawa na
mamba, alipokwenda kutoa kifuta machozi kutoka wizarani kwake.
Katibu Tawala wilaya ya Masasi, Dunford Peter akimwonyesha ramani Waziri wa maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ya sehemu ya mto huo, wakati waziri huyo...