Kampuni ya simu bandia za iphone yavamiwa
Kampuni iliyodaiwa kutengeneza simu bandia 41,000 aina ya Iphones kutoka kampuni ya Apple imevamiwa huko Uchina na watu 9 kukamatwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TECNO YAZINDUA SIMU MPYA YA PHANTOM 5 WENGI WAICHANGAMKIA
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Kampuni ya Simu ya Tigo, Huawei wazindua simu ya watu wa hali ya chini jijini Dar
Meneja wa Vifaa vya Huawei, Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam katika uzinduzi wa simu hizo. Kushoto ni Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga.
Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga, akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa ya uzinduzi...
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO, HUAWEI WAZINDUA SIMU YA WATU WA HALI YA CHINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Bongo510 Sep
Apple yaonesha simu mpya, iPhone 6s na 6s Plus
10 years ago
Bongo512 Dec
10 years ago
Habarileo25 Jan
Watanzania wahimizwa kuondokana na simu bandia
WAKATI matumizi ya teknolojia yakielezwa kuongezeka katika nchi za Afrika hasa ya simu, Watanzania wameshauriwa kutumia simu zenye viwango vya kimataifa ili kuepukana na athari za matumizi ya simu bandia.
10 years ago
Habarileo15 Sep
FCC yakamata simu bandia za mil. 72/-
TUME ya Ushindani (FCC) imekamata simu bandia zenye thamani ya Sh milioni 72.2 katika maduka ya Kariakoo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-deSGXbYtAnM/U63X5ZRl79I/AAAAAAAA5po/RwBI-bqKpZY/s72-c/1.jpg)
AIRTEL YAZINDUA SIMU MPYA AINA YA IPHONE 5S
![](http://1.bp.blogspot.com/-deSGXbYtAnM/U63X5ZRl79I/AAAAAAAA5po/RwBI-bqKpZY/s1600/1.jpg)