Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nini kinawakwaza maprofesa katika siasa?

Sitaki kuamini kuwa ule usemi wa nabii hakubaliki kwao ndiyo unawafanya maprofesa waliowahi kuteuliwa katika baraza la mawaziri kukwama kuonyesha ujuzi wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Washangaa maprofesa kuwasilisha maoni sasa

Kitendo cha maprofesa kuwasilisha kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samia Suluhu Hassan kitabu kiitwacho ‘Katiba Bora Tanzania’ huku kamati za bunge hilo zikijadili Rasimu ya Katiba kimeibua maswali mengi kwa wananchi .

 

9 years ago

Michuzi

Maprofesa na Wajibu wa Kuandika - Prof. Mbele

Na Profesa Joseph Mbele
Profesa ni mtu aliyefikia kiwango cha juu cha ufanisi katika ufundishaji, utafiti, uandishi, na kutoa ushauri kwa jamii katika masuala mbali mbali yanayohusiana na utaalam wake. Siwezi kuongelea hapa vipengele vyote vya suala hili, kama vile vigezo vinavyotumika katika kupima ufanisi wa mhusika hadi kumfikisha kwenye hadhi ya uprofesa. Ninakumbushia tu suala la wajibu wa profesa wa kuandika.
Baadhi yetu wa-Tanzania tumeliwazia na kuliongelea suala hili kwa miaka mingi,...

 

9 years ago

Mwananchi

Maprofesa, madaktari watawala baraza la JPM

Rais John Magufuli amekamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri ambalo asilimia 53 ya wajumbe wote ni wasomi na wataalamu wa nyanja mbalimbali za kitaaluma.

 

9 years ago

Raia Mwema

Utata kuhusu ukubwa/udogo wa serikali, madaktari na maprofesa

KWA mwendo wa taratibu, Rais John Magufuli ameendelea kukamilisha barala la mawaziri atakalofanya

Jenerali Ulimwengu

 

9 years ago

Mwananchi

‘Marufuku siasa katika soka’

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepiga marufuku wadau wake kuelezea hisia zao za kisiasa na kujihusisha katika kampeni za kisiasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mchezo huo yenye nembo za klabu na wadhamini wa ligi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mionzi ni nini katika matibabu ya saratani?

WAGONJWA wa saratani hupewa tiba ya mionzi ili kupunguza uvimbe. Tiba hii hufanywa kwa lengo la kumaliza ugonjwa au kama tiba shufaa (nafuu ya ugonjwa) na mara nyingi hutolewa na...

 

10 years ago

GPL

NANI NA NINI KINATANGULIA KATIKA UHUSIANO?

MAISHA ya kimapenzi, hasa katika nchi masikini kama Tanzania, yamebadili uelekeo na kuonekana kama ni kitu kinachotanguliza masilahi badala ya upendo kama ilivyokuwa enzi za mababu zetu.
Enjo, kama alivyojitambulisha kwangu hivi karibuni, anasimulia kisa cha kusisimua. “Nilikutana naye kwenye daladala, baada ya kunisalimia tukapiga stori hadi alipokaribia kushuka katika kituo chake, akaniomba namba ya simu. Kwa kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ushabiki unavyowatesa vijana katika siasa

>Mwamko wa vijana katika siasa ulianza kujitokeza katika kipindi cha uchaguzi wa mwaka 1995. Chama Cha Mapinduzi (CCM) mbali na mwamko wa vijana ulioibuka ndani yake, pia kilianza kupata upinzani mkali na kutupiwa lawama na kila aina ya kejeli kwa madai ya viongozi wake kukosa sifa za kuongoza nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake kujitosa katika siasa Tunisia

Wanawake nchini Tunisia wamekuwa wakipigania baadhi ya haki zao za kiongozi ili waweze kushika nyadhifa za kisiasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani