Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake kujitosa katika siasa Tunisia

Wanawake nchini Tunisia wamekuwa wakipigania baadhi ya haki zao za kiongozi ili waweze kushika nyadhifa za kisiasa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TUNDU LISSU ATANGAZA RASMI KUJITOSA KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2020

 MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Tundu Lissu  Na Said Mwishehe, Michuzi TV


MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye kwa sasa yupo nje ya nchi Tundu Lissu ametangaza rasmi kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka 2020.

Lissu ambaye amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu kwa nyakati tofauti amekuwa akionesha nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

10 years ago

Vijimambo

TAMKO LA WANAWAKE NA KATIBA KWA VIONGOZI WA SIASA

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakifuatilia Semina iliyoandaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba kwaajili ya Wajumbe wa Bunge Maalum kuhusu masuala ya Jinsia na Katiba iliyofanyika Agosti, 2014 kwenye Ukumbi wa Bunge wa Pius Msekwa Mjini Dodoma.(Picha kutoka Maktaba)

 

5 years ago

Michuzi

SHERIA ZA UCHAGUZI ZINAZOJIKITA KWENYE MRENGO WA JINSI YA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA UONGOZI,WENYE AZMA YA UPATIKANAJI WA HAKI ZA WANAWAKE.


Na.Vero Ignatus.
Mtandao wa wanawake,Katiba,Uongozi na Uchaguzi,kwa udhamini wa mfuko wa wanawake Tanzania(WFT)hivi karibuni uliendesha mada ya uchambuzi wa sheria tano za uchaguzi zilizojikita kwenye wa mrengo wa jinsi ya ushiriki wa wanawake katika uongozi unaolenga kwenye azma ya upatikanaji wa haki za wanawake na ujenzi wa nguvu za pamoja katika kuendeleza utetezi wa ukombozi wa kimapinduzi
Mkutano huo ulifanyika kwa njia ya mtandao wa zoom ulioendeshwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko...

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Wanawake na siasa zetu ni kisa cha tajiri na maskini?

>Tafiti nyingi zinaonyesha kwamba mchango wa wanawake katika mambo ya siasa ni mkubwa kuliko ule wa wanaume.

 

10 years ago

GPL

IDADI YA WALIOFARIKI KATIKA SHAMBULIO TUNISIA YAFIKIA 23

Miili ya baadhi ya watu waliopoteza maisha kwenye shambulio hilo ikifunikwa. IDADI ya watu waliopoteza maisha katika shambulio la kigaidi lililotokea jana nchini Tunisia imeongezeka na kufikia 23.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigwangala atafakari kujitosa urais 2015

MBUNGE wa Nzega mkoani Tabora, Dk. Hamis Kigwangala, amesema anatafakari kama ataweza kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka...

 

10 years ago

Habarileo

Mwalimu afa baada ya kujitosa ziwani

Kaimu Kamanda wa Polisi Tarime Rorya, Sweetbert Njewike MWALIMU wa Shule ya Msingi Kibumaye iliyopo tarafa ya Inchage wilayani Tarime mkoani Mara, Nelson Zachma (50) amekufa kwa kujitosa Ziwa Victoria.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunda wafurahi Wasira kujitosa urais

Stephen Masato Wasira ni mwanasiasiasa nguli wa CCM; kada madhubuti ambaye chama kinajivunia kuwa naye. Amekuwapo katika awamu zote nne za uongozi akishika nyadhifa mbalimbali ndani ya chama na serikali.

 

5 years ago

CCM Blog

HASNA ATTAI MASOUD AWA KADA WA 24 KUJITOSA KUWANIA URAIS ZANZIBAR

Mgombea wa 24 ni Bi Hasna Attai Masoud ambaye amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Leo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani