Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maprofesa na Wajibu wa Kuandika - Prof. Mbele

Na Profesa Joseph Mbele
Profesa ni mtu aliyefikia kiwango cha juu cha ufanisi katika ufundishaji, utafiti, uandishi, na kutoa ushauri kwa jamii katika masuala mbali mbali yanayohusiana na utaalam wake. Siwezi kuongelea hapa vipengele vyote vya suala hili, kama vile vigezo vinavyotumika katika kupima ufanisi wa mhusika hadi kumfikisha kwenye hadhi ya uprofesa. Ninakumbushia tu suala la wajibu wa profesa wa kuandika.
Baadhi yetu wa-Tanzania tumeliwazia na kuliongelea suala hili kwa miaka mingi,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Wanaomtetea Prof. Muhongo wajibu haya


  Ametajwa kuwa dalali uchotwaji fedha za Escrow  Chini ya utawala wake, deni la Tanesco limepaa maradufu kufikia bil. 456/-  Umeme bado hautabiriki, unakatika kila uchao  Mikataba ya madini haijapitiwa kama alivyoahidiJitihada za kumtetea Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwa kudai kuwa amefanya mambo makubwa katika kipindi kifupi alichokaa na hivyo hastahili kuondoshwa licha ya kuhusishwa na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bili. 300 za akaunti ya Escrow iliyokuwa...

 

10 years ago

Michuzi

vitabu nilivyonunua hivi karibuni - Prof Mbele

Na Profesa Mbele
Napenda kuendelea na jadi yangu ya kuvitaja vitabu nilivyoongeza katika maktaba yangu katika siku chache zilizopita. 

Kitabu kimoja ni The Poetic Edda: Stories of the Norse Gods and Heroes,kilichotafsiriwa na Jackson Crowford. The Poetic Edda ni kitabu maarufu sana ambacho nimekisikia kwa miaka mingi. Ni mkusanyo wa hadithi na mashairi ya mapokeo juu ya miungu na mashujaa wa Iceland.

Nimeamua kujipatia nakala wakati huu ambapo nimekuwa nafundisha utungo maarufu wa Finland...

 

9 years ago

Michuzi

PROF. OLE GABRIEL AVIPONGEZA VYOMBO VYA HABARI KWA KAZI KUBWA WALIYOIFANYA YA KUANDIKA HABARI ZA UCHAGUZI ULIOFANYIKA HIVI KARIBUNI

Na Mwandishi Maalum  – Maelezo
Vyombo vya habari nchini vimepongezwa kwa kazi kubwa waliyoifanya ya kutoa taarifa kwa wananchi wakati wa uchaguzi mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwezi wa 10 mwaka huu.
Pongezi hizo zimetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel wakati akiongea na viongozi wa menejimenti ya wizara na taasisi zake kwenye kikao cha kazi kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Prof. Gabriel alisema kipindi cha uchaguzi vyombo...

 

10 years ago

Vijimambo

UNANINI CHA KUSEMA JUU YA MANENO HAYA YA PROF ANNA TIBAIJUKA KWA WAPIGA KULA WAKE BAADA KUZOMEWA MBELE YA KINANA HUKO BUKOBA.

JE mnachuliaje uamuzi alichokua Mbunge wa Muleba Kusini (CCM) na aliewahi kuwa waziri wa Ardhi nyumba na makazi, Profesa Anna Tibaijuka jana baada ya kuzomewa mbele ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ambapo alisema haya“Kama hamnitaki siyo lazima niwe mbunge wenu, mnaruhusiwa kubadili. Huyo aliyewapa viroba asubuhi hii ili mje mnitie aibu mbele ya katibu mkuu wa chama nawaambia hiyo dhambi itawatafuna,” alisema. “Mimi sitafuti kazi na wala sina njaa... na kama hela ya kula ninayo....

 

9 years ago

Mwananchi

Maprofesa, madaktari watawala baraza la JPM

Rais John Magufuli amekamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri ambalo asilimia 53 ya wajumbe wote ni wasomi na wataalamu wa nyanja mbalimbali za kitaaluma.

 

10 years ago

Mwananchi

Nini kinawakwaza maprofesa katika siasa?

Sitaki kuamini kuwa ule usemi wa nabii hakubaliki kwao ndiyo unawafanya maprofesa waliowahi kuteuliwa katika baraza la mawaziri kukwama kuonyesha ujuzi wao.

 

11 years ago

Mwananchi

Washangaa maprofesa kuwasilisha maoni sasa

Kitendo cha maprofesa kuwasilisha kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samia Suluhu Hassan kitabu kiitwacho ‘Katiba Bora Tanzania’ huku kamati za bunge hilo zikijadili Rasimu ya Katiba kimeibua maswali mengi kwa wananchi .

 

9 years ago

Raia Mwema

Utata kuhusu ukubwa/udogo wa serikali, madaktari na maprofesa

KWA mwendo wa taratibu, Rais John Magufuli ameendelea kukamilisha barala la mawaziri atakalofanya

Jenerali Ulimwengu

 

5 years ago

Bongo5

Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje

Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.

Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.

Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani