Baraza la Madaktari labebeshwa mzigo
TUKIO la utupaji wa viungo vya binadamu jalalani, linalodaiwa kufanywa na Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) cha Dar es Salaam, linadaiwa kuandika historia mbaya nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iWWn-NhbzgU/XmFXGA0qpMI/AAAAAAALha0/PGzD-19QigcNxBbhHlEnuOy6b13MI7XzgCLcBGAsYHQ/s72-c/2eeed421-bdf4-4fc8-8581-3fe8ea443049.jpg)
MAT: MADAKTARI 1000 WATAPUNGUZA MZIGO
Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii
MWENYEKITI wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) Dk.Elisha Osati amesema kutokana na uchache wao, daktari mmoja nchini uhudumia wagonjwa 22,000 kwa mwaka, huku kiwango kilichowekwa na Shirika la Afya Duniani (WHO), kikiwa kila daktari kuhudumia watu 8,000 kwa mwaka.
Akizungumza katika hitimisho la Wiki ya Madaktari lililokwenda sanjari na upimaji afya kwa wananchi katika Viwanja vya Zakhem, Mbagala jijini Dar es Salaam, Dk. Osati ameeleza uzito huo wa...
MWENYEKITI wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) Dk.Elisha Osati amesema kutokana na uchache wao, daktari mmoja nchini uhudumia wagonjwa 22,000 kwa mwaka, huku kiwango kilichowekwa na Shirika la Afya Duniani (WHO), kikiwa kila daktari kuhudumia watu 8,000 kwa mwaka.
Akizungumza katika hitimisho la Wiki ya Madaktari lililokwenda sanjari na upimaji afya kwa wananchi katika Viwanja vya Zakhem, Mbagala jijini Dar es Salaam, Dk. Osati ameeleza uzito huo wa...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Maprofesa, madaktari watawala baraza la JPM
Rais John Magufuli amekamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri ambalo asilimia 53 ya wajumbe wote ni wasomi na wataalamu wa nyanja mbalimbali za kitaaluma.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y8zHW7EXTsY/XvY5AVCQ4DI/AAAAAAALvmM/lcLK2lj7iTEuYaZhzFvUSIYQ487W--NbQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B7.42.04%2BPM.jpeg)
MSAJILI BARAZA LA VETERINARI AWATAKA MADAKTARI WA MIFUGO KUHUISHA MAJINA YAO KWENYE DAFTARI LA USAJILI
MSAJILI wa Baraza la Veterinari Tanzania, Dkt Bedan Masuruli amewataka Madaktari wa Mifugo nchini kuhuisha majina yao kwenye daftari la usajili wa madaktari wa mifugo kabla ya Julai 1, 2020.
Akizungumza na jijini Dodoma leo, Dkt. Masuruli amesema ni muhimu wataalam kuhuisha majina yao ili baraza liweze kufahamu wako wapi, wanafanya nini na wanatoa huduma gani.
"Nasisitiza madaktari wote wa mifugo ambao hawajahuisha taarifa zao kwenye daftari la usajili wa madaktari wafanye hivyo kuanzia leo...
Akizungumza na jijini Dodoma leo, Dkt. Masuruli amesema ni muhimu wataalam kuhuisha majina yao ili baraza liweze kufahamu wako wapi, wanafanya nini na wanatoa huduma gani.
"Nasisitiza madaktari wote wa mifugo ambao hawajahuisha taarifa zao kwenye daftari la usajili wa madaktari wafanye hivyo kuanzia leo...
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oxIvCczYTpU/VI1pEgNfjpI/AAAAAAAG3Ho/aYQr7dY_5cw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
KATIBU MTENDAJI BARAZA LA BIASHARA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WANAHABARI KUHUSU MKUTANO WA NANE WA BARAZA HILO UTAKAOFANYIKA DESEMBA 16 ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-oxIvCczYTpU/VI1pEgNfjpI/AAAAAAAG3Ho/aYQr7dY_5cw/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1rxkBN0R96M/VI1pE7Keu6I/AAAAAAAG3Hs/DT4Rij6th0E/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-i3trQkc8jPs/VI1pFPBTVxI/AAAAAAAG3H0/2KAhyO1CVnQ/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Ninautua mzigo
Mhariri hima hima, shairi langu si dogo,
Nina kisa chaniuma, si kingine ni mzigo,
 Wahisani wakipima, jibu lisiwe mzigo,
Ninautua mzigo, mzigo uso bebeka.
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
JK awabebesha mzigo TAKUKURU
RAIS Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) kutimiza wajibu wao ili haki iweze kutendeka kwa wakati katika mahakama zote nchini....
11 years ago
Mwananchi14 Jun
‘Ni Bajeti mzigo kwa wavujajasho’
>Wasomi wameichambua Bajeti ya mwaka 2014/15 na kusema kuwa kwa kiasi kikubwa inategemea wafadhili na imeendelea kumbana mvuja jasho na kuwanufaisha wanasiasa
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Mahari ni mzigo kwa wanaume?
Mahari ya kiwanja yaleta maafa, bwana harusi aamua kuwatoa uhai familia yake na wakweze kwa kukataa kumlipia mahari hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania