JK awabebesha mzigo TAKUKURU
RAIS Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) kutimiza wajibu wao ili haki iweze kutendeka kwa wakati katika mahakama zote nchini....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Ninautua mzigo
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Vodacom wakerwa na mzigo wa kodi
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Lugola amwita Chiza ‘mzigo’
JINAMIZI la kuitwa ‘Waziri Mzigo’ lililokuwa likimuandama Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, limeibuka tena jana bungeni wakati wa mjadala wa hotuba ya bajeti ya wizara hiyo. Aliyeibua...
11 years ago
Habarileo16 May
Wakuu wa mikoa watwishwa mzigo
RAIS Jakaya Kikwete, amewaagiza wakuu wa mikoa kupunguza vifo vya watoto na akinamama vinavyotokana na uzazi katika mikoa yao, huku akiwahadharisha kwamba atafuatilia kwa karibu utendaji wao kuona namna wanavyoshughulikia tatizo hilo.
11 years ago
Mwananchi14 Jun
‘Ni Bajeti mzigo kwa wavujajasho’
10 years ago
Mtanzania25 Mar
Pinda aitwisha mzigo NEC

Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Na Fredy Azzah, DODOMA
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema hatima ya upigaji wa kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa itatokana na tathmini itakayofanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuona jinsi hatua hiyo ilivyotekelezwa katika Mkoa wa Njombe.
Pinda aliyasema hayo jana nje ya Ukumbi wa Bunge baada ya waandishi wa habari kutaka kujua msimamo wa serikali juu ya tarehe ya kupiga kura.
Alisema Serikali imekwisha kutoa asilimia 70 ya fedha za kununulia mashine...
11 years ago
Habarileo25 Jul
Baraza la Madaktari labebeshwa mzigo
TUKIO la utupaji wa viungo vya binadamu jalalani, linalodaiwa kufanywa na Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) cha Dar es Salaam, linadaiwa kuandika historia mbaya nchini.
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Wizara ya Viwanda na Biashara ni mzigo
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Mahari ni mzigo kwa wanaume?