Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda aitwisha mzigo NEC

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Na Fredy Azzah, DODOMA
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema hatima ya upigaji wa kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa itatokana na tathmini itakayofanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuona jinsi hatua hiyo ilivyotekelezwa katika Mkoa wa Njombe.
Pinda aliyasema hayo jana nje ya Ukumbi wa Bunge baada ya waandishi wa habari kutaka kujua msimamo wa serikali juu ya tarehe ya kupiga kura.

Alisema Serikali imekwisha kutoa asilimia 70 ya fedha za kununulia mashine...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Muhongo aitwisha mzigo Bodi ya Tanesco

Pg 3 jan.19Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amezindua rasmi Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kuipa vipaumbele vitano vya utekelezaji wa majukumu yake.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari mjini Dar es Salaam jana, ilisema uzinduzi wa bodi hiyo ulifanyika makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa wizara hiyo.
Alisema bodi hiyo ina jukumu kubwa la kuliongoza shirika hilo kwa ufanisi na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Pinda mzigo namba moja serikalini’

WAKATI Chama Cha Mapinduzi kikionekana kubadili lugha na kuanza kuwatetea mawaziri kiliowaita ni ‘mizigo’ na wanapaswa kuwajibika, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hiyo ni geresha kwani chama hicho...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge CCM: Pinda mzigo namba wani

p>SAKATA la mawaziri kuandamwa kwa kutowajibika limezidi kushika kasi ambapo safari hii, Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kumfukuza kazi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa madai ya kuwa mchawi wa maendeleo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda: Nipo tayari kung’olewa nikibainika ni mzigo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amevunja ukimya na kusema yuko tayari kuachia ngazi endapo tu Rais Jakaya Kikwete ataamua kumwondoa na kama itatokea hivyo, atamshukuru Rais kwa kumwambia, ahsante.

 

10 years ago

Habarileo

NEC itaamua hatma uandikishaji -Pinda

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ametoa ufafanuzi kuhusu suala la uandikishaji katika daftari la kudumu la wapigakura na siku maalum ya kupiga kura.

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda: Nec inaweza kuahirisha Kura ya Maoni

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema kama Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) itaona muda wa uandikishaji wananchi katika Daftari la Wapigakura kwa ajili ya Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa hautoshi, atawasilisha suala hilo bungeni ili uongezwe.

 

9 years ago

Mwananchi

Ninautua mzigo

Mhariri hima hima, shairi langu si dogo, Nina kisa chaniuma, si kingine ni mzigo,  Wahisani wakipima, jibu lisiwe mzigo, Ninautua mzigo, mzigo uso bebeka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK awabebesha mzigo TAKUKURU

RAIS Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) kutimiza wajibu wao ili haki iweze kutendeka kwa wakati katika mahakama zote nchini....

 

11 years ago

Habarileo

Wakuu wa mikoa watwishwa mzigo

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete, amewaagiza wakuu wa mikoa kupunguza vifo vya watoto na akinamama vinavyotokana na uzazi katika mikoa yao, huku akiwahadharisha kwamba atafuatilia kwa karibu utendaji wao kuona namna wanavyoshughulikia tatizo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani