NEC itaamua hatma uandikishaji -Pinda
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ametoa ufafanuzi kuhusu suala la uandikishaji katika daftari la kudumu la wapigakura na siku maalum ya kupiga kura.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jul
NEC yaweka msimamo uandikishaji
NA RABIA BAKARITUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haitoongeza muda wa kuandikisha Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo mpya wa BVR, licha ya wanasiasa wengi kupendekeza.Aidha imetoa ruksa kwa vyama vyote vya siasa vinavyohitaji kuweka mawakala kufanya hivyo wakati wa uandikishaji wa daftari hilo.Mapendekezo ya kuongeza muda kutoka siku 14 hadi mwezi au miezi miwili, yalitolewa juzi na viongozi wa juu wa vyama vya siasa, walioshiriki mkutano kati yao na NEC kwa ajili ya kujadili...
10 years ago
Mwananchi26 Jun
NEC itathmini uandikishaji wa BVR
11 years ago
Habarileo01 Jul
NEC yafafanua mfumo wa uandikishaji
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema mfumo mpya wa uandikishaji wa wapiga kura wa ‘Biometric Voter Registration Kit’ (BVR), utatumika kwa ajili ya kuandikisha wapiga kura tu, si kwa ajili ya upigaji kura kielektroniki.
10 years ago
Mwananchi30 Jun
NEC yaahirisha uandikishaji wapigakura Dar
10 years ago
Mtanzania13 Feb
NEC yasogeza mbele uandikishaji daftari la kudumu
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza kusogeza mbele uandikishaji wapigakura kutoka Februari 16 hadi 23, mwaka huu.
Uamuzi huo ulitangazwa jana jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva, katika kikao na viongozi wa vyama vya siasa hali ambayo iliibua hoja nzito.
Jaji Lubuva, alisema wamesogeza mbele uandikishaji ili wapate muda wa kufanya maandalizi ya kutosha, na vyama viweze kuandaa mawakala pindi kazi hiyo...
10 years ago
Mwananchi27 May
MAONI: NEC, uandikishaji usiende pamoja na kampeni
10 years ago
Mwananchi01 Aug
NEC iongeze muda zaidi Dar, au uandikishaji uboreshwe
10 years ago
Mwananchi13 Feb
UANDIKISHAJI WAPIGA KURA: Vyama 22 vyaungana kuishukia NEC
10 years ago
Mwananchi04 Aug
Uandikishaji BVR umemalizika, NEC sasa ijipange upya