UANDIKISHAJI WAPIGA KURA: Vyama 22 vyaungana kuishukia NEC
>Vyama vya siasa nchini vimeibana Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), wakitaka iweke wazi kama itaweza kukamilisha mchakato wa uandikishaji Daftari la Wapiga kura kabla ya Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika Aprili 30.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV13 Feb
NEC yasogeza mbele uandikishaji wapiga kura hadi Feb 16.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imesogeza wiki moja mbele ya kuanza zoezi la kuboresha Daftari la kudumu la wapiga kura ambalo awali lilipangwa kuanza Februari 16 na kwa mabadiliko hayo litaanza Februari 23 mwaka huu.
NEC imefanya mabadiliko haya baada ya shinikizo la muda mrefu kutoka kwa viongozi wa vyama vya siasa walioitaka tume hiyo kutoa muda zaidi wa kuzunguka nchi nzima kutoa elimu kwa wapiga kura ili waone umuhimu wa kujiandikisha.
Katika...
5 years ago
MichuziNEC yaongeza siku za uandikishaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura Dar
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa ya Dar es Salaam.
Muda uliongezwa kwa katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura ni siku tatu ambapo zoezi hilo litaitimishwa Februari 23, 2020.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchanguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Wilson Charles amesema kuwa kusogezwa kwa...
5 years ago
CCM BlogWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC
5 years ago
MichuziWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI WAPIGA KURA NEC
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Uandikishaji daftari la wapiga kura bado
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Uandikishaji wapiga kura Dar es Salaam.
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Pinda azindua uandikishaji daftari la wapiga kura
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua Uboreshaji wa Daftari kla Kudumu la Wapigakura katika mji mdogo wa Makambako Februari 24, 2015.Kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Damian Lubuva na Katikati ni Katibu wa Tume hiyo, Ndugu Malaba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama kazi ya uandikishaji wapiga kura baada ya kuzindua Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura katika mji mdogo wa Makambako Februari 24, 2015. (Picha na Ofisi ya...
10 years ago
Mwananchi23 May
Dar es Salaam yapangiwa siku 12 uandikishaji wapiga kura
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-hs8fzdqqBjM/VO3Q2_JnCZI/AAAAAAADPFE/HNB_EVYre0A/s72-c/661.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AZINDUA UANDIKISHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA
![](http://2.bp.blogspot.com/-hs8fzdqqBjM/VO3Q2_JnCZI/AAAAAAADPFE/HNB_EVYre0A/s1600/661.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f-Jjwai_oZc/VO3RV0SbydI/AAAAAAADPFc/LnieWMWEGns/s1600/06.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SWQTv5HPkVE/VO3QziUVBJI/AAAAAAADPE0/rSZtM0FMjHM/s1600/03.jpg)