Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda: Nec inaweza kuahirisha Kura ya Maoni

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema kama Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) itaona muda wa uandikishaji wananchi katika Daftari la Wapigakura kwa ajili ya Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa hautoshi, atawasilisha suala hilo bungeni ili uongezwe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Serikali yagoma kuahirisha kura za maoni

Waziri Mkuu, Mizengo PindaSERIKALI imesema haitaahirisha kufanyika kwa kura ya maoni Aprili mwakani kwa Katiba mpya Inayopendekezwa ili fedha zilizopangwa kwa kazi hiyo zitumike kuwapa mikopo wanafunzi 8,000 wa vyuo vya elimu ya juu, walioshindwa kupewa mikopo hiyo kwa ukosefu wa fedha.

 

10 years ago

Mwananchi

NEC yatangaza zabuni Kura ya Maoni

Uwezekano wa Kura ya Maoni kufanyika mwaka huu na hasa sambamba na Uchaguzi Mkuu, umeanza kujionyesha baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza zabuni za ununuzi wa vifaa vitakavyotumika kwenye shughuli hiyo, zikiwamo karatasi za kupigia kura.

 

11 years ago

Tanzania Daima

NEC yaongeza utata kura ya maoni 2015

UWEZEKANO wa kufanyika kwa kura ya maoni Aprili 30 mwakani, kama alivyoahidi Rais Jakaya Kikwete ni mdogo, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuthibitisha kwamba itakamilisha kazi ya...

 

10 years ago

Habarileo

Kura ya maoni ipo palepale, yasema NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imesisitiza kwamba tarehe ya kufanyika kwa kura ya maoni kuhusu Katiba Inayopendekezwa ipo pale pale na hakuna mabadiliko yoyote kama inavyonukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari.

 

11 years ago

Mwananchi

NEC: Hakuna kura ya maoni bila daftari jipya

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema haitaendesha uchaguzi wa aina yoyote, wala kuitisha kura ya maoni hadi kazi ya kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura itakapokamilika.

 

10 years ago

GPL

NEC: KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA PENDEKEZI KUTOFANYIKA APRILI 30

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mh. Jaji Mstaasfu Damiani Lubuva. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kuwa zoezi la upigaji kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa, halitafanyika kama ilivyokuwa imepangwa hapo awali kufanyika Aprili 30 mwaka huu hadi hapo itakapotangazwa tena. NEC imetoa sababu kuwa, kuahirishwa kwa zoezi hilo ni kutokana na kutokamilika kwa zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura...

 

10 years ago

Michuzi

News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akishangiliwa na wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda mjini. Matokea yalikuwa hivi:

Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto  6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri  385Brian Baraka 263

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akiwashukuru wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda...

 

10 years ago

Michuzi

HOTUBA YA MHE. WAZIRI MKUU PINDA YA KUAHIRISHA MKUTANO WA 18 WA BUNGE

HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P.  PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO

WA 18 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TAREHE 7 FEBRUARI, 2015


I:          UTANGULIZI 


(a)      Masuala ya jumla


Mheshimiwa Spika,

1.            Tumekuwepo hapa kwa takriban siku 12 katika shughuli za Mkutano wa 18 wa Bunge lako Tukufu. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.


2.           ...

 

10 years ago

Habarileo

Pinda : Kura ya Maoni iko pale pale

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesisitiza kuwa kutokana na uandikishaji katika daftari la kudumu mkoani Njombe kumalizika kwa mafanikio, lengo la kura ya maoni kufanyika Aprili 30, mwaka huu, liko palepale.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani