NEC yaongeza utata kura ya maoni 2015
UWEZEKANO wa kufanyika kwa kura ya maoni Aprili 30 mwakani, kama alivyoahidi Rais Jakaya Kikwete ni mdogo, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuthibitisha kwamba itakamilisha kazi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziNEC yaongeza siku za uandikishaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura Dar
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa ya Dar es Salaam.
Muda uliongezwa kwa katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura ni siku tatu ambapo zoezi hilo litaitimishwa Februari 23, 2020.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchanguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Wilson Charles amesema kuwa kusogezwa kwa...
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Utata Kura ya Maoni uangaliwe kwa makini
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Utata wa katiba umalizwe kabla ya kura ya maoni
KWA mara nyingine, Rais Jakaya Kikwete amekuja na lugha mwanana na murua juu ya hiyo tunayotakiwa tuamini ni Katiba inayolifaa taifa hili. Lakini katiba itakayopelekwa kwa wananchi kuifanyia uamuzi sio...
5 years ago
BBCSwahili01 Mar
Rais wa Guinea Condé ameahirisha kura ya maoni yenye utata
10 years ago
Mwananchi24 Apr
NEC yatangaza zabuni Kura ya Maoni
10 years ago
Habarileo28 Mar
Kura ya maoni ipo palepale, yasema NEC
TUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imesisitiza kwamba tarehe ya kufanyika kwa kura ya maoni kuhusu Katiba Inayopendekezwa ipo pale pale na hakuna mabadiliko yoyote kama inavyonukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari.
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Pinda: Nec inaweza kuahirisha Kura ya Maoni
10 years ago
Mwananchi10 Oct
NEC: Hakuna kura ya maoni bila daftari jipya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8bhCKInxEXUO5R5XWnbW4X7B6UrF*URxzwwk-PWT3i7o22NL2A2EyjOWGRvdKReLOaZq6F4kkc5QcWdNGLlURb8/IMG_8983.jpg?width=650)
NEC: KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA PENDEKEZI KUTOFANYIKA APRILI 30