Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utata wa katiba umalizwe kabla ya kura ya maoni

KWA mara nyingine, Rais Jakaya Kikwete amekuja na lugha mwanana na murua juu ya hiyo tunayotakiwa tuamini ni Katiba inayolifaa taifa hili. Lakini katiba itakayopelekwa kwa wananchi kuifanyia uamuzi sio...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

NEC yaongeza utata kura ya maoni 2015

UWEZEKANO wa kufanyika kwa kura ya maoni Aprili 30 mwakani, kama alivyoahidi Rais Jakaya Kikwete ni mdogo, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuthibitisha kwamba itakamilisha kazi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Utata Kura ya Maoni uangaliwe kwa makini

Juzi viongozi wa vyama vya upinzani walikuwa na kikao cha pamoja na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kujadili mchakato wa Kura ya Maoni, ambayo imetangazwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa itafanyika Aprili 30.

 

10 years ago

Mwananchi

Elimisheni wananchi kabla ya kura ya Maoni

 Kampeni za kuelekea upigaji wa kura ya maoni kuhusu mchakato wa Katiba Inayopendekezwa zinatarajiwa kuanza Machi 30, mwaka 2015.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais wa Guinea Condé ameahirisha kura ya maoni yenye utata

Waandamanji wamekasirika baada ya kuona kuwa katiba mpya itamuwezesha rais kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Turekebishe haya kabla ya kura ya maoni 2016

MCHAKATO wa kuandikwa upya Katiba Mpya ya Tanzania ulioanza mwaka 2011, bado haujafikia tamati. Bado hatujapata Katiba Mpya inayotakiwa kwasababu kwa mujibu wa  Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura, 83 (The...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WAISHIO DMV USA WALIPOKUTANA KUMSIKILIZA MH. ISMAIL JUSSA, ALIPOELEZEA UCHAKACHULIWAJI WA MAONI YA KATIBA NA KUELEZEA SABABU ZINAZOIFANYA UKAWA KWA NINI HAITOSHIRIKI KATIKA KURA YA MAONI

Kabla ya mkutano kuanza, picha ya juu na chini zinazofuata, zikionyesha  kisimamo cha dakika moja kumuombe na kada  na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM, John Komba

MC katika mkutano huo, Bw.Libe Mwang'ombe, aliyeumudu kuuendesha mkutano kwa utaratibu uliotakiwa na kwa usalama hadi mwisho bila jazba hadi mwisho masuali yaliulizwa kwa vifungu na kujibiwa ipasavyo   Dada Salma akiuliza suali kwa wakati wake, masuali mengi yaliulizwa na wadau mbali mbali ambyo yalikuwa ya msingi kwa mustakabali...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Someni Katiba kabla ya kuipigia kura’

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela Kairuki amesema Serikali inachapisha nakala za Katiba Pendekezwa za kutosha na kuwagawia wananchi ili waweze kuisoma kabla ya kuipigia kura Aprili 30, 2015.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi waichambue Katiba kabla ya upigaji kura

BAADA ya mvutano kuhusu mchakato wa katiba, hatimaye hivi karibuni, Bunge Maalum la Katiba chini ya Mwenyekiti, Samuel Sitta kutoka na Katiba inayopendekezwa. Hata hivyo, mvutano huo bado haujapatiwa ufumbuzi...

 

10 years ago

Michuzi

News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akishangiliwa na wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda mjini. Matokea yalikuwa hivi:

Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto  6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri  385Brian Baraka 263

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akiwashukuru wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani