Mbunge CCM: Pinda mzigo namba wani
p>SAKATA la mawaziri kuandamwa kwa kutowajibika limezidi kushika kasi ambapo safari hii, Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kumfukuza kazi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa madai ya kuwa mchawi wa maendeleo ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
‘Pinda mzigo namba moja serikalini’
WAKATI Chama Cha Mapinduzi kikionekana kubadili lugha na kuanza kuwatetea mawaziri kiliowaita ni ‘mizigo’ na wanapaswa kuwajibika, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hiyo ni geresha kwani chama hicho...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Mbunge CCM amvaa Pinda
10 years ago
Mtanzania25 Mar
Pinda aitwisha mzigo NEC
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda-300x197.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Na Fredy Azzah, DODOMA
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema hatima ya upigaji wa kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa itatokana na tathmini itakayofanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuona jinsi hatua hiyo ilivyotekelezwa katika Mkoa wa Njombe.
Pinda aliyasema hayo jana nje ya Ukumbi wa Bunge baada ya waandishi wa habari kutaka kujua msimamo wa serikali juu ya tarehe ya kupiga kura.
Alisema Serikali imekwisha kutoa asilimia 70 ya fedha za kununulia mashine...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Washangaa mbunge wao kuitwa ‘mzigo’
WANANCHI wilayani Ulanga, Morogoro, wamekuja juu kutokana na mbunge wao, Celina Kombani, ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, kuhusishwa kuwa ni mmoja...
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Pinda: Nipo tayari kung’olewa nikibainika ni mzigo
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-DP6PG92O9Y8/VSpX9MGJJjI/AAAAAAAAryU/iASzqshRgUI/s72-c/halima%2Bmzee.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ: MBUNGE HALIMA MDEE NI MZIGO JIMBO LA KAWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-DP6PG92O9Y8/VSpX9MGJJjI/AAAAAAAAryU/iASzqshRgUI/s640/halima%2Bmzee.jpg)
Msanii maarufu nchini mwenye mafanikio makubwa katika sanaa ya mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, amevunja ukimya wake juu ya ubovu wa barabara iendayo Madale ambayo ipo kwenye jimbo la Kawe chini ya Halima Mdee.Msanii huyo ameelekeza lawama zake kwa mbunge huyo wa kupitia tiketi ya CHADEMA kwa kuwa Halima Mdee aliahidi wananchi wa jimbo hilo kuwa katika kipindi chake cha ubunge atahakikisha barabara hiyo inajengwa kwa kiwango cha lami, lakini hadi hii leo barabara imejaa tope...
10 years ago
Mwananchi18 Feb
CCM itatua mzigo wa makosa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IpZNc-J_yL0/VLpn1DMqYvI/AAAAAAAG9_k/CNynUnI-RVc/s72-c/unnamed.jpg)
MH. PINDA AMJULIA HALI MBUNGE VITA KAWAWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-IpZNc-J_yL0/VLpn1DMqYvI/AAAAAAAG9_k/CNynUnI-RVc/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m2cqkF16GOE/VLpn1EFxVfI/AAAAAAAG9_g/Jarg4RCqZvw/s1600/unnamed%2B(1).jpg)