‘Pinda mzigo namba moja serikalini’
WAKATI Chama Cha Mapinduzi kikionekana kubadili lugha na kuanza kuwatetea mawaziri kiliowaita ni ‘mizigo’ na wanapaswa kuwajibika, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hiyo ni geresha kwani chama hicho...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mbunge CCM: Pinda mzigo namba wani
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Mapunda ataka namba moja Simba
10 years ago
Dewji Blog19 May
Tanzania sasa namba moja kwa utalii
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Wizara ya Maliasili na Utalii
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kama ilivyoripotiwa na kituo cha utangazaji cha CNN cha nchini Marekani, napenda kutumia fursa hii kuwajulisha kuwa nchi yetu imeendelea kufanya vizuri duniani katika kunadi vivutio vya utalii vilivyoko hapa nchini. Hii inatokana na hatua madhubuti tulizochukua kama nchi, katika suala zima la uhifadhi hasa kwenye ulinzi wa maliasili zetu dhidi ya...
10 years ago
Mtanzania20 Apr
Chadema: Zitto ni adui yetu namba moja
Na Bakari Kimwanga, Mwanza
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kuwa adui yake namba moja ni Kiongozi Mkuu wa Chama cha Alliance for Change and Transparance (ACT-wazalendo), Zitto Kabwe.
Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Bara, John Mnyika akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Furahisha Mwanza juzi, alisema Chadema haiko tayari kuikaribisha ACT-Wazalendo ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutokana na kile alichosema ‘ni adui kwao’.
“Mtume Muhamad...
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Mchafu namba moja duniani atafuta mwenza
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxerT9jRkDsE7VJgcvob8AMfYcAWYVM6ondSmxv8RQl2ouM3J1FsZcO*5CCCx7KJ29GHZchwkQBlMmCkoKAzOG*24/kazi2.jpg?width=650)
USIKU WA MATUMAINI; TAMASHA NAMBA MOJA TANZANIA
10 years ago
Mtanzania25 Mar
Pinda aitwisha mzigo NEC
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda-300x197.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Na Fredy Azzah, DODOMA
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema hatima ya upigaji wa kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa itatokana na tathmini itakayofanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuona jinsi hatua hiyo ilivyotekelezwa katika Mkoa wa Njombe.
Pinda aliyasema hayo jana nje ya Ukumbi wa Bunge baada ya waandishi wa habari kutaka kujua msimamo wa serikali juu ya tarehe ya kupiga kura.
Alisema Serikali imekwisha kutoa asilimia 70 ya fedha za kununulia mashine...
11 years ago
Mwananchi04 Jul
Mshtakiwa namba moja kukosekana kesi ya twiga hai
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vu2giU6L5Odw9fgRj5OPdvAM3*Fs4gXrwbrj3h0oRaq5wH2GFP*sd*zOTPtRyKyvaSr6igurjcycrTFYb1crcI9mEYw4su-t/11021250_946535928725068_3604363840028674416_n.jpg?width=650)
FORBES: BILL GATES NI TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI