Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Pinda mzigo namba moja serikalini’

WAKATI Chama Cha Mapinduzi kikionekana kubadili lugha na kuanza kuwatetea mawaziri kiliowaita ni ‘mizigo’ na wanapaswa kuwajibika, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hiyo ni geresha kwani chama hicho...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge CCM: Pinda mzigo namba wani

p>SAKATA la mawaziri kuandamwa kwa kutowajibika limezidi kushika kasi ambapo safari hii, Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kumfukuza kazi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa madai ya kuwa mchawi wa maendeleo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mapunda ataka namba moja Simba

Kipa mpya wa Simba, Ivo Mapunda amesema hahofii ushindani atakaokutana nao kutoka kwa makipa wengine wa timu hiyo na kudai kuwa yuko tayari kuikabili changamoto hiyo na hatimaye kusimama langoni kama kipa namba moja.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania sasa namba moja kwa utalii

DSC_0089

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro  Nyalandu.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Wizara ya Maliasili na Utalii

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Kama ilivyoripotiwa na kituo cha utangazaji cha CNN cha nchini Marekani, napenda kutumia fursa hii kuwajulisha kuwa nchi yetu imeendelea kufanya vizuri duniani katika kunadi vivutio vya utalii vilivyoko hapa nchini. Hii inatokana na hatua madhubuti tulizochukua kama nchi, katika suala zima la uhifadhi hasa kwenye ulinzi wa maliasili zetu dhidi ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema: Zitto ni adui yetu namba moja

MNYIKANa Bakari Kimwanga, Mwanza
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kuwa adui yake namba moja ni Kiongozi Mkuu wa Chama cha Alliance for Change and Transparance (ACT-wazalendo), Zitto Kabwe.
Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Bara, John Mnyika akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Furahisha Mwanza juzi, alisema Chadema haiko tayari kuikaribisha ACT-Wazalendo ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutokana na kile alichosema ‘ni adui kwao’.
“Mtume Muhamad...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchafu namba moja duniani atafuta mwenza

Tehran. Mtu aliyetajwa kuwa mchafu kuliko wote duniani, Amou Haji (80) amesema anajisikia mpweka na sasa anahitaji mwenza wa kusihi naye.

 

11 years ago

GPL

USIKU WA MATUMAINI; TAMASHA NAMBA MOJA TANZANIA

Mwaka 2012, Tamasha la Usiku wa Matumaini (Night of Hope), lilikuwa kubwa sana, 2013 likatisha zaidi kutokana na muundo mzima wa burudani, jumlisha na historia iliyoandikwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Staa wa Bongo Movie, Irine Uwoya Dk. Kikwete alikuwa mgeni rasmi, alizungumza na umati mkubwa uliohudhuria lakini hakuishia hapo, aliandika historia pale alipokagua wachezaji wa timu za...

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda aitwisha mzigo NEC

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Na Fredy Azzah, DODOMA
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema hatima ya upigaji wa kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa itatokana na tathmini itakayofanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuona jinsi hatua hiyo ilivyotekelezwa katika Mkoa wa Njombe.
Pinda aliyasema hayo jana nje ya Ukumbi wa Bunge baada ya waandishi wa habari kutaka kujua msimamo wa serikali juu ya tarehe ya kupiga kura.

Alisema Serikali imekwisha kutoa asilimia 70 ya fedha za kununulia mashine...

 

11 years ago

Mwananchi

Mshtakiwa namba moja kukosekana kesi ya twiga hai

Moshi. Kesi ya kutorosha wanyamapori hai 152 wakiwamo twiga wanne kwenda Uarabuni inatarajiwa kuunguruma leo bila kuwapo kwa mshtakiwa namba moja, Kamran Ahmed.

 

10 years ago

GPL

FORBES: BILL GATES NI TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI

Mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft, Bill Gates. Bwanyenye mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft , Bill Gates, ndiye tajiri nambamoja duniani kwa mwaka wa pili mfululizo. Kwa mujibu wa takwimu za jarida la Forbes ambalo huchapiShwa mara moja kila mwaka, Bill Gates ameorodheshwa kumiliki zaidi ya dola bilioni 79.2. Mfanyibiashara kutoka Mexico, Carlos Slim… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani