Mapunda ataka namba moja Simba
Kipa mpya wa Simba, Ivo Mapunda amesema hahofii ushindani atakaokutana nao kutoka kwa makipa wengine wa timu hiyo na kudai kuwa yuko tayari kuikabili changamoto hiyo na hatimaye kusimama langoni kama kipa namba moja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL0X5zbzVzwpn*vacjqbOhGEA3EAK3ocVK-3gTocz*uty3tnpd5V*N63BPGqkrzvGirVo-kCIuSQ4SS-0EcSWmgL/loga.jpg?width=650)
Loga amtaja Tambwe adui namba moja Simba
9 years ago
Habarileo19 Aug
Mapunda akubali kuilipa Simba
KIPA Ivo Mapunda amesema atarudisha fedha za Simba lakini anahitaji apewe muda.
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Ivo Mapunda: Simba Musoti ni jembe
11 years ago
GPL![](http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/12/Ivo.jpg?width=640)
IVO MAPUNDA NA DONALD MUSOTI WAJIUNGA RASMI NA SIMBA SC
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
‘Pinda mzigo namba moja serikalini’
WAKATI Chama Cha Mapinduzi kikionekana kubadili lugha na kuanza kuwatetea mawaziri kiliowaita ni ‘mizigo’ na wanapaswa kuwajibika, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hiyo ni geresha kwani chama hicho...
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Mchafu namba moja duniani atafuta mwenza
10 years ago
Mtanzania20 Apr
Chadema: Zitto ni adui yetu namba moja
Na Bakari Kimwanga, Mwanza
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kuwa adui yake namba moja ni Kiongozi Mkuu wa Chama cha Alliance for Change and Transparance (ACT-wazalendo), Zitto Kabwe.
Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Bara, John Mnyika akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Furahisha Mwanza juzi, alisema Chadema haiko tayari kuikaribisha ACT-Wazalendo ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutokana na kile alichosema ‘ni adui kwao’.
“Mtume Muhamad...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxerT9jRkDsE7VJgcvob8AMfYcAWYVM6ondSmxv8RQl2ouM3J1FsZcO*5CCCx7KJ29GHZchwkQBlMmCkoKAzOG*24/kazi2.jpg?width=650)
USIKU WA MATUMAINI; TAMASHA NAMBA MOJA TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog19 May
Tanzania sasa namba moja kwa utalii
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Wizara ya Maliasili na Utalii
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kama ilivyoripotiwa na kituo cha utangazaji cha CNN cha nchini Marekani, napenda kutumia fursa hii kuwajulisha kuwa nchi yetu imeendelea kufanya vizuri duniani katika kunadi vivutio vya utalii vilivyoko hapa nchini. Hii inatokana na hatua madhubuti tulizochukua kama nchi, katika suala zima la uhifadhi hasa kwenye ulinzi wa maliasili zetu dhidi ya...