Chadema: Zitto ni adui yetu namba moja
Na Bakari Kimwanga, Mwanza
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kuwa adui yake namba moja ni Kiongozi Mkuu wa Chama cha Alliance for Change and Transparance (ACT-wazalendo), Zitto Kabwe.
Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Bara, John Mnyika akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Furahisha Mwanza juzi, alisema Chadema haiko tayari kuikaribisha ACT-Wazalendo ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutokana na kile alichosema ‘ni adui kwao’.
“Mtume Muhamad...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL0X5zbzVzwpn*vacjqbOhGEA3EAK3ocVK-3gTocz*uty3tnpd5V*N63BPGqkrzvGirVo-kCIuSQ4SS-0EcSWmgL/loga.jpg?width=650)
Loga amtaja Tambwe adui namba moja Simba
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Zitto: Nina sharti moja tu kurudi Chadema
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s72-c/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s640/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.
Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.
Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.
Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana, tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Nani adui wa CCM, Chadema au ufisadi?
HALI ya kisiasa nchini (kwa wakati huo makala hii ilipochapwa kwa mara ya kwanza – Desemba, 2012)
Msomaji Raia
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Mapunda ataka namba moja Simba
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
‘Pinda mzigo namba moja serikalini’
WAKATI Chama Cha Mapinduzi kikionekana kubadili lugha na kuanza kuwatetea mawaziri kiliowaita ni ‘mizigo’ na wanapaswa kuwajibika, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hiyo ni geresha kwani chama hicho...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxerT9jRkDsE7VJgcvob8AMfYcAWYVM6ondSmxv8RQl2ouM3J1FsZcO*5CCCx7KJ29GHZchwkQBlMmCkoKAzOG*24/kazi2.jpg?width=650)
USIKU WA MATUMAINI; TAMASHA NAMBA MOJA TANZANIA
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Mchafu namba moja duniani atafuta mwenza
10 years ago
Dewji Blog19 May
Tanzania sasa namba moja kwa utalii
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Wizara ya Maliasili na Utalii
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kama ilivyoripotiwa na kituo cha utangazaji cha CNN cha nchini Marekani, napenda kutumia fursa hii kuwajulisha kuwa nchi yetu imeendelea kufanya vizuri duniani katika kunadi vivutio vya utalii vilivyoko hapa nchini. Hii inatokana na hatua madhubuti tulizochukua kama nchi, katika suala zima la uhifadhi hasa kwenye ulinzi wa maliasili zetu dhidi ya...