Loga amtaja Tambwe adui namba moja Simba
![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL0X5zbzVzwpn*vacjqbOhGEA3EAK3ocVK-3gTocz*uty3tnpd5V*N63BPGqkrzvGirVo-kCIuSQ4SS-0EcSWmgL/loga.jpg?width=650)
Kocha mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic. Na Khadija Mngwai KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amesema litakuwa ni pigo kubwa kuondoka kwa mshambuliaji wake, Amissi Tambwe mwishoni mwa msimu huu.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania20 Apr
Chadema: Zitto ni adui yetu namba moja
Na Bakari Kimwanga, Mwanza
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kuwa adui yake namba moja ni Kiongozi Mkuu wa Chama cha Alliance for Change and Transparance (ACT-wazalendo), Zitto Kabwe.
Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Bara, John Mnyika akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Furahisha Mwanza juzi, alisema Chadema haiko tayari kuikaribisha ACT-Wazalendo ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutokana na kile alichosema ‘ni adui kwao’.
“Mtume Muhamad...
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Loga: Hakuna mwenye namba Simba
KOCHA Mkuu wa Simba, Logarusic Zdravko, amewataka nyota wake kujituma katika mazoezi kuwa fiti zaidi ili kupata namba katika kikosi cha kwanza akisema haoni mwenye uhakika wa namba. Loga aliyejipambanua...
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Mapunda ataka namba moja Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i41PO2l4KKWLA2-wSIWN22AUyMzvtSrvhRfylWRtCsX09-wTkvbLcnSgQjOCCimXxoztckdGjmdnsGb7gjSILOzPW4I69kJ*/1.jpg)
Kopunovic amtaja aliyeimaliza Simba
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
‘Pinda mzigo namba moja serikalini’
WAKATI Chama Cha Mapinduzi kikionekana kubadili lugha na kuanza kuwatetea mawaziri kiliowaita ni ‘mizigo’ na wanapaswa kuwajibika, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hiyo ni geresha kwani chama hicho...
10 years ago
Dewji Blog19 May
Tanzania sasa namba moja kwa utalii
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Wizara ya Maliasili na Utalii
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kama ilivyoripotiwa na kituo cha utangazaji cha CNN cha nchini Marekani, napenda kutumia fursa hii kuwajulisha kuwa nchi yetu imeendelea kufanya vizuri duniani katika kunadi vivutio vya utalii vilivyoko hapa nchini. Hii inatokana na hatua madhubuti tulizochukua kama nchi, katika suala zima la uhifadhi hasa kwenye ulinzi wa maliasili zetu dhidi ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxerT9jRkDsE7VJgcvob8AMfYcAWYVM6ondSmxv8RQl2ouM3J1FsZcO*5CCCx7KJ29GHZchwkQBlMmCkoKAzOG*24/kazi2.jpg?width=650)
USIKU WA MATUMAINI; TAMASHA NAMBA MOJA TANZANIA
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Mchafu namba moja duniani atafuta mwenza