Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mshtakiwa namba moja kukosekana kesi ya twiga hai

Moshi. Kesi ya kutorosha wanyamapori hai 152 wakiwamo twiga wanne kwenda Uarabuni inatarajiwa kuunguruma leo bila kuwapo kwa mshtakiwa namba moja, Kamran Ahmed.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kesi ya kusafirisha twiga hai kusikilizwa leo

Kesi ya uhujumu uchumi ya kusafirisha wanyamapori hai wakiwamo twiga wanne kutoka Tanzania kwenda Jiji la Doha Qatar, itaendelea kusikilizwa leo kwa siku mbili mfululizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mshtakiwa kesi ya mauaji aiangukia Mahakama

Mshtakiwa Makongoro Joseph Nyerere, anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia ya mfanyabiashara wa madini, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imuachie huru akakae nyumbani na watoto wake.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Swissport ndiyo iliyopakiza twiga hai’

Shahidi wa 31 katika kesi ya kutorosha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda Uarabuni kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), ameitaja Kampuni ya Swissport ndiyo iliyohusika na kazi ya upakiaji wanyama hao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius-Kesi kupeperushwa moja kwa moja

Mahakama Afrika Kusini imeamua kuwa baadhi ya sehemu za kesi dhidi ya Oscar Pistorius zinaweza kuonyeshwa moja kwa moja kwa televisheni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Pinda mzigo namba moja serikalini’

WAKATI Chama Cha Mapinduzi kikionekana kubadili lugha na kuanza kuwatetea mawaziri kiliowaita ni ‘mizigo’ na wanapaswa kuwajibika, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hiyo ni geresha kwani chama hicho...

 

11 years ago

Mwananchi

Mapunda ataka namba moja Simba

Kipa mpya wa Simba, Ivo Mapunda amesema hahofii ushindani atakaokutana nao kutoka kwa makipa wengine wa timu hiyo na kudai kuwa yuko tayari kuikabili changamoto hiyo na hatimaye kusimama langoni kama kipa namba moja.

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema: Zitto ni adui yetu namba moja

MNYIKANa Bakari Kimwanga, Mwanza
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kuwa adui yake namba moja ni Kiongozi Mkuu wa Chama cha Alliance for Change and Transparance (ACT-wazalendo), Zitto Kabwe.
Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Bara, John Mnyika akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Furahisha Mwanza juzi, alisema Chadema haiko tayari kuikaribisha ACT-Wazalendo ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutokana na kile alichosema ‘ni adui kwao’.
“Mtume Muhamad...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania sasa namba moja kwa utalii

DSC_0089

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro  Nyalandu.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Wizara ya Maliasili na Utalii

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Kama ilivyoripotiwa na kituo cha utangazaji cha CNN cha nchini Marekani, napenda kutumia fursa hii kuwajulisha kuwa nchi yetu imeendelea kufanya vizuri duniani katika kunadi vivutio vya utalii vilivyoko hapa nchini. Hii inatokana na hatua madhubuti tulizochukua kama nchi, katika suala zima la uhifadhi hasa kwenye ulinzi wa maliasili zetu dhidi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchafu namba moja duniani atafuta mwenza

Tehran. Mtu aliyetajwa kuwa mchafu kuliko wote duniani, Amou Haji (80) amesema anajisikia mpweka na sasa anahitaji mwenza wa kusihi naye.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani