Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAT: MADAKTARI 1000 WATAPUNGUZA MZIGO

Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii

MWENYEKITI  wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) Dk.Elisha Osati amesema kutokana na uchache wao, daktari mmoja nchini uhudumia wagonjwa 22,000 kwa mwaka, huku kiwango kilichowekwa na Shirika la Afya Duniani (WHO), kikiwa kila daktari kuhudumia watu 8,000 kwa mwaka.

Akizungumza katika hitimisho la Wiki ya Madaktari lililokwenda sanjari na upimaji afya kwa wananchi katika Viwanja vya Zakhem, Mbagala jijini Dar es Salaam, Dk. Osati ameeleza uzito huo wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Profesa Mwandosya afungua mkutano wa 47 wa chama cha madaktari Tanzania (MAT) mjini Dodoma


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais asiye na Wizara Maalum Prof Mark Mwandosya akisisitiza jambo kwenye mkutano wa mkuu wa 47 wa chama cha madaktari unaofanyika kwa siku 2 katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Dodoma.Madaktari ambao ni wajumbe wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) wakifuatilia jambo katika ukumbi wa Pius Msekwa Mjini Dodoma walipokuwa kwenye mkutano wao wa 47Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais asiye na Wizara Maalum Prof Mark Mwandosya na Naibu Waziri wa Afya Mhe. Kebwe Stevin Kebwe wakiwa...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA STANBIC TANZANIA YAKABIDHI MILIONI 30/= KWA CHAMA CHA MADAKTARI TANZANIA (MAT).

Mkuu wa kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Stanbic Tanzania, Thereza Majinge (kulia) akimkabidhi Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Dk. Elisha Osati (kushoto), mfano wa hundi yenye thamani ya TZS Milioni 30,  ikiwa ni mchango wa benki hiyo kusaidia mapambano ya ugonjwa wa homa ya virusi vya Corona (Covid 19). Makabidhiano hayo yalifanyika katika makao makuu ya Benki ya Stanbic Dar es Salaam wiki hii. Katikati ni Katibu Mkuu wa MAT Dkt Lilian R. Mnabwiru.

 

11 years ago

Habarileo

Baraza la Madaktari labebeshwa mzigo

Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi, Dk Steven Kebwe.TUKIO la utupaji wa viungo vya binadamu jalalani, linalodaiwa kufanywa na Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) cha Dar es Salaam, linadaiwa kuandika historia mbaya nchini.

 

5 years ago

Michuzi

VIFO VYA WATOTO WACHANGA VIMEPUNGUA KUTOKA 25 KWA KILA VIZAZI HAI 1000 HADI SABA KWA KILA VIZAZI HAI 1000


Na WAMJW – Dar es Salaam

05/05/2020 Vifo vya watoto wachanga wenye umri wa chini ya siku 28 vimepungua kutoka 25 kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwaka 2015/16 na kufikia saba  kwa kila vizazi hai  1000 kwa mwezi Machi mwaka huu.

Hayo yamesemwa leo  jijini  jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa kinga, mabango,vipeperushi na vifaa vya  kutoa elimu kwa Umma kuhusu ugonjwa wa Corona kutoka kwa Benki ya Absa...

 

5 years ago

The Guardian

On my radar: Mat Osman’s cultural highlights

On my radar: Mat Osman’s cultural highlights  The GuardianNovels by rock stars are usually hopeless – but here's one that's brilliant  Telegraph.co.ukView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Mwananchi

MAADILI: MAT: IMTU imepoteza sifa

>Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), kimezitaka mamlaka zinazohusika kuchukua hatua kali za haraka dhidi ya taasisi na watu waliojihusisha na utupaji wa mabaki ya viungo vya binadamu katika Bonde la Mto Mpiji, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita.

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

5 years ago

AppleInsider

Apple rumored to be 'prototyping' revamped AirPower charging mat

Apple rumored to be 'prototyping' revamped AirPower charging mat  AppleInsiderApple’s AirPower wireless charger is apparently back in development  TechRadar IndiaAirPower is coming back, says new rumor  Tom's GuideRumor Claims 'AirPower Isn't Dead' After Ming-Chi Kuo Says Apple Working on 'Smaller Wireless Charging Mat'  MacRumorsAirPower Isn't Dead, Says Leaker  iClarifiedView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Michuzi

FCS, Stakeholders Donates TZS 11 million worth of PPEs to MAT

Group photo from left, Head of Business Development and Philanthropy Department  Foundation for Civil Society, Nasim Losai,  MAT (MEDICAL ASSOCIATION of Tanzania, Dr. Shadrak Mwaibambe, MAT (MEDICAL ASSOCIATION of TANZANIA),  Elisha Osati, Director of Foundation for Civil Society, Francis Kiwanga, MAT (MEDICAL ASSOCIATION of TANZANIA), Dr.Annet and MAT (MEDICAL ASSOCIATION of TANZANIA) Dr. Lilian Mnabwiru. MAT (MEDICAL ASSOCIATION of TANZANIA), Elisha Osati handing over with Director of...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani