Profesa Mwandosya afungua mkutano wa 47 wa chama cha madaktari Tanzania (MAT) mjini Dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mnw4QpUfbNw/VIsul24L7WI/AAAAAAAA_Mk/xUd7xFHq-Io/s72-c/P%2B1.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais asiye na Wizara Maalum Prof Mark Mwandosya akisisitiza jambo kwenye mkutano wa mkuu wa 47 wa chama cha madaktari unaofanyika kwa siku 2 katika ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Dodoma.
Madaktari ambao ni wajumbe wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) wakifuatilia jambo katika ukumbi wa Pius Msekwa Mjini Dodoma walipokuwa kwenye mkutano wao wa 47
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais asiye na Wizara Maalum Prof Mark Mwandosya na Naibu Waziri wa Afya Mhe. Kebwe Stevin Kebwe wakiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wRjuskl6Pb4/XtpSVZmsEMI/AAAAAAALsu8/8f19Qk88oYMdqqZ3b79pKQsSjlKgKlAdACLcBGAsYHQ/s72-c/d32e6306-498a-4f80-ad70-665a26fdf56a.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO MKUU UCHAGUZI WA CHAMA CHA WALIMU TANZANIA CWT KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wRjuskl6Pb4/XtpSVZmsEMI/AAAAAAALsu8/8f19Qk88oYMdqqZ3b79pKQsSjlKgKlAdACLcBGAsYHQ/s640/d32e6306-498a-4f80-ad70-665a26fdf56a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/f994c205-9286-4e75-90d6-eda3022ac964.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VBv-GimYbHU/Xo2Up87hGUI/AAAAAAAEGp4/FdaBJctS93M1_9dyUyUJpIu-GjZzBZB_QCLcBGAsYHQ/s72-c/MAT%2B2.jpg)
BENKI YA STANBIC TANZANIA YAKABIDHI MILIONI 30/= KWA CHAMA CHA MADAKTARI TANZANIA (MAT).
![](https://1.bp.blogspot.com/-VBv-GimYbHU/Xo2Up87hGUI/AAAAAAAEGp4/FdaBJctS93M1_9dyUyUJpIu-GjZzBZB_QCLcBGAsYHQ/s640/MAT%2B2.jpg)
9 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DODOMA AFUNGUA MKUTANO WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI DODOMA KUHUSU UCHAGUZI MKUU
10 years ago
MichuziRais Kikwete afungua Mkutano Mkuu wa Chama Cha Waalimu Tanzania (CWT)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete afungua Mkutano Mkuu wa Chama Cha Waalimu Tanzania(CWT)
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
Pinda afungua mkutano wa chama cha wafanyakazi wa vyuo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimaiana na Mwenyekiti wa Wanawake wa Chama cha Wafanyakazi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (THTU) Leah Ntara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kufungua mkutano wa Baraza Kuu la Pili la THTU kwenye Hoteli ya Naura Spring mjini Arusha August 21, 2014.Katikati ni Mwenyekiti wa THTU, Yusufu Singo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano Mkuu wa Pili wa Chama cha Wafanyakazi wa...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-XgzuyHu5elw/VOSIyrEUhKI/AAAAAAAHEXE/BWtf2BFF8yM/s1600/Pinda_Fao%2Bla%2Buzazi2.jpg)
WAZIRI MKUU AFUNGUA MKUTANO WA NNE WA WADAU WA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF MJINI DODOMA
10 years ago
MichuziMH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA NCHI ZA BONDE LA MTO NILE, MJINI DODOMA LEO
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye Kituo Cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015.
9 years ago
VijimamboRais Kikwete afungua Mkutano wa Chama Cha Majaji na Mahakimu wa Afrika Mashariki