Mawaziri wapya sura mpya kibao
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Sura mpya Baraza la Mawaziri
11 years ago
Habarileo20 Jan
Sura mpya kumi Baraza la Mawaziri
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri kujaza nafasi za mawaziri watano walioacha nafasi zao wazi, kutokana na sababu mbalimbali. Katika uteuzi huo, Rais Kikwete ameteua mawaziri wapya wawili na Naibu mawaziri wapya wanane, huku akiwapandisha vyeo naibu mawaziri wanne kuwa mawaziri kamili.
11 years ago
GPLUHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI WAPYA
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
CCM yavuna wanachama wapya Kibao Kasulu
-Zaidi ya watu 700 wajiunga na CCM akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF Kata ya Rungwe mpya.
-Asema mtaji wa vyama vya Upinzani ni matatizo ya wananchi na hawasaidii katika kuyatatua badala yake wanataka wananchi waendelee kuumia ili wao wajijenge kisiasa .
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Nyenge kata ya Kurugongo wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma ikiwa sehemu ya ziara yake mkoani humo.
Mbunge wa Viti Maalum Ndugu Josephine Gezabuke akihutubia...
10 years ago
MichuziIsomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro
WANANCHI wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro wakati wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama, iliyopo wilayani Rufiji...
9 years ago
Habarileo24 Dec
Mawaziri wapya wanne wateuliwa
RAIS John Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza Baraza la Mawaziri la Kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake.
10 years ago
GPL24 Jan
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Mawaziri wapya watangaza kiama
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Mawaziri wapya wamficha Magufuli Dodoma