Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baraza la Mawaziri ni sheikh yule yule katika kanzu mpya!

WASWAHILI watakuambia ni sheikh yule yule ndani ya kanzu mpya. Wazungu watakuambia ni mvinyo ule ule kwenye chupa mpya. Naam, hilo ndilo Baraza la Mawaziri lililorekebishwa. Watu walikuwa macho wazi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PNC SHINO Yule yule 2015 Tanzanian Music Official video


Singer Name:- Pnc
 Song Name:- Yule Yule
Country;- Tanzania
Genre;- Bongo Flavour
Director:- Saimako

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Bongo5

New Music: P N C — Yule Yule

Wimbo mpya kutoka kwa msanii PNC baada ya kimya huu ndo ujio wake mpya wimbo unaitwa “Yule Yule” Producer Duppah

 

11 years ago

Michuzi

Katika "HUYU NA YULE" ya NJE-NDANI wiki hii...

Photo Credits: Bongo Celebrity  Katika NJE NDANI wiki hii, mbali na habari kutoka Afrika, utasikia mahojiano yangu na NURU THE LIGHT. Msanii, Mjasiriamali, Mtangazaji, Blogger na Mwanaharakati ambaye amekuwa mkarimu sana kujiunga nami kutoka Stockholm Sweden Kazungumza mengi mema Jiunge nami, MUBELWA BANDIO Jumamosi (June 28) katika NJE NDANI ya Kwanza Production na Border Radio kuanzia saa sita mpaka saa nane mchana kwa saa za Marekani ya mashariki kupitia www.kwanzaproduction.com ama...

 

10 years ago

Mwananchi

Sikiliza wasia unaokuhusu wewe na yule katika jamii

>Ni wakati mwingine wa Watanzania mijini na vijijini kuona au kusikiliza mipasho, vijembe, dhihaka na hata kejeli na hotuba zilizojaa maneno ambayo wakati mwingine unajiuliza kama kweli yanatoka kwa watu wazima au la.

 

11 years ago

CloudsFM

YULE MTOTO ALIYEFUNGIWA KWENYE BOKSI MOROGORO HUYU HAPA AKIWA KATIKA HOSPITALI YA MUHIMBILI

Mtoto aliyekuwa amefichwa kwenye boksi mkoani Morogoro, Nasra Mvungi ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro, amehamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kwa uchunguzi zaidi.
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Morogoro, Dk Godfrey Mtei alisema Nasra alipelekwa Muhimbili juzi usiku baada ya hali yake kutoridhisha.
Alisema afya ya Nasra ilibadilika ghafla juzi asubuhi na kushindwa kupumua vizuri, jambo lililowalazimu madaktari kumpeleka Muhimbili kwa gari maalumu la wagonjwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Njoo wewe na yule katika ‘Skylight Sunday Bonanza’‬ kiota cha Escape One leo jioni

 Rapa Mkongwe wa muziki wa dansi wa Skylight Band, Joniko Flower akiwasebenesha sehemu ya mashabiki wao sambamba na Sony Masamba jumapili iliyopita kwenye Skylight Sunday Bonanza‬ kiota cha Escape One Mikocheni jijini Dar es Salaam na hivi leo mwendo ni ule ule na speed 120.(Picha na Geofrey Adroph wa pamoja blog).

 Rapa Joniko Flower akichuana na mmoja wa shabiki wa Skylight Band staili mbalimbali za sebene huku mashabiki wengine wakiangalia na kuiga miondoko hiyo.

 Msanii Em Evans...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani