Baraza la mawaziri labadilishwa Tanzania
Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania amelifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri kujaza nafasi tano zilizokuwa wazi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Baraza la Mawaziri Kenya, labadilishwa
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Baraza la mawaziri lazua hisia Tanzania
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMSn*Nm0m4erJtPB7loYgIikURE--5LzWI6O2bhCLJiaywT2Sodg9CWjZTegIkcSLyB3rXOQAWUIqOcL4Ml7dXe2/unnamed12.jpg?width=650)
TANZANIA YACHUKUA RASMI UENYEKITI WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iTEb9k4b95Y/VHjUvvkhWjI/AAAAAAAG0Ao/9RZCVSS_0wo/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Tanzania yachukua Rasimi Uenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika mashariki
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TNv7dtVtpYpddUHzT520rw12Z2cfYn6gy*aOzzrEdcuTToxtzaQZ14*1ZliuWXchYgwc1PJB1AxNN*sfdmPaxTQ/mawaziri.jpg?width=650)
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Baraza jipya la mawaziri laiva
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
RAIS Dk. John Magufuli, wakati wowote anatarajiwa kutangaza Baraza la Mawaziri baada ya kukamilisha wiki kadhaa za kuchuja majina ya wanaofaa kuwa mawaziri.
Hatua hiyo inakuja baada ya jana kukutana faragha kwa saa moja na Waziri Mkuu wake Kassim Majaliwa katika kikao kilichofanyika ofisini kwa waziri huyo.
Katika kile kinachoonekana ni tofauti na marais waliopita, ambao wengi wao walikuwa wakifuatwa ofisini, hali imekuwa tofauti kwa Dk. Magufuli ambaye...
5 years ago
Habarileo16 Feb
Mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri
Rais John Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri.
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Kagame avunja Baraza la Mawaziri
![Paul Kagame](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Paul-Kagame.jpg)
Rais wa Rwanda, Paul Kagame
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amevunja baraza lake la mawaziri kwa kumuondoa aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Dk. Pierre Damien Habumuremyi na kumteua aliyekuwa Waziri wa Utumishi wa Umma wa nchi hiyo, Anastase Murekezi, kuchukua wadhifa huo.
Dk. Habumuremyi alikuwa Waziri Mkuu wa Ruwanda tangu Oktoba 7, mwaka 2011.
Murekezi amekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo tangu kumalizika vita vya mauaji ya kimbari mwaka 1994.
Waziri Mkuu wa kwanza alikuwa Faustin...
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Hali tete baraza la mawaziri