Baraza la mawaziri lajiuzulu Misri
Waziri mkuu wa Misri, Hazem el-Beblawi na baraza lake la mawaziri wamejiuzulu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TNv7dtVtpYpddUHzT520rw12Z2cfYn6gy*aOzzrEdcuTToxtzaQZ14*1ZliuWXchYgwc1PJB1AxNN*sfdmPaxTQ/mawaziri.jpg?width=650)
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Msigwa: Baraza la Mawaziri limedumaaÂ
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amesema asilimia 40 ya Baraza la Mawaziri limedumaa kwa sababu limeshindwa kutekeleza majukumu yake. Msigwa pia alikilaumu Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa...
9 years ago
TZToday10 Dec
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LATANGAZWA
Jumla ya wizara ni 18 , Mawaziri ni 19.
Wizara ya Mambo ya Nje na EAC/ Kimataifa
- Augustino Mahiga, Naibu Waziri - Dk. Suzan Kolimba
Wazara wa Utamaduni, Sanaa na michezo
Waziri-Nape Nnauye
Wizara ya Nishati na Madini
Waziri -Sospeter Muhongo na Naibu Waziri-Medard Kalemani
Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu
Waziri -Jenista Mhagama
Wizara ya ofisi ya Rais, Utumishi na utawala
mawaziri wawili - Simbachawene na Kairuki
Ofisi ya Makamu wa...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Uwiano ni muhimu Baraza la Mawaziri
SIKU chache zilizopita, nilikuwa na mjadala mrefu na mmoja wa mawaziri wa serikali ya Rais John M
Ezekiel Kamwaga
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Kagame avunja Baraza la Mawaziri
![Paul Kagame](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Paul-Kagame.jpg)
Rais wa Rwanda, Paul Kagame
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amevunja baraza lake la mawaziri kwa kumuondoa aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Dk. Pierre Damien Habumuremyi na kumteua aliyekuwa Waziri wa Utumishi wa Umma wa nchi hiyo, Anastase Murekezi, kuchukua wadhifa huo.
Dk. Habumuremyi alikuwa Waziri Mkuu wa Ruwanda tangu Oktoba 7, mwaka 2011.
Murekezi amekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo tangu kumalizika vita vya mauaji ya kimbari mwaka 1994.
Waziri Mkuu wa kwanza alikuwa Faustin...
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Baraza la Mawaziri Kenya, labadilishwa
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Baraza la mawaziri labadilishwa Tanzania
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Baraza jipya la mawaziri laiva
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
RAIS Dk. John Magufuli, wakati wowote anatarajiwa kutangaza Baraza la Mawaziri baada ya kukamilisha wiki kadhaa za kuchuja majina ya wanaofaa kuwa mawaziri.
Hatua hiyo inakuja baada ya jana kukutana faragha kwa saa moja na Waziri Mkuu wake Kassim Majaliwa katika kikao kilichofanyika ofisini kwa waziri huyo.
Katika kile kinachoonekana ni tofauti na marais waliopita, ambao wengi wao walikuwa wakifuatwa ofisini, hali imekuwa tofauti kwa Dk. Magufuli ambaye...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jR7nYvTvTS0/VGXJt1MzZTI/AAAAAAADM_o/79eHfU4RR4Y/s72-c/Kikwete_mbowe.jpg)
MBOWE BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-jR7nYvTvTS0/VGXJt1MzZTI/AAAAAAADM_o/79eHfU4RR4Y/s1600/Kikwete_mbowe.jpg)