‘Acheni kudhalilisha Baraza la Mawaziri’
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dk, Richard Sezibera ameasa wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuacha tabia ya kudhalilisha Baraza la Mawaziri.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 May
Mawaziri acheni jeuri, ubabe kuweni wasikivu
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TNv7dtVtpYpddUHzT520rw12Z2cfYn6gy*aOzzrEdcuTToxtzaQZ14*1ZliuWXchYgwc1PJB1AxNN*sfdmPaxTQ/mawaziri.jpg?width=650)
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Uwiano ni muhimu Baraza la Mawaziri
SIKU chache zilizopita, nilikuwa na mjadala mrefu na mmoja wa mawaziri wa serikali ya Rais John M
Ezekiel Kamwaga
9 years ago
TZToday10 Dec
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LATANGAZWA
Jumla ya wizara ni 18 , Mawaziri ni 19.
Wizara ya Mambo ya Nje na EAC/ Kimataifa
- Augustino Mahiga, Naibu Waziri - Dk. Suzan Kolimba
Wazara wa Utamaduni, Sanaa na michezo
Waziri-Nape Nnauye
Wizara ya Nishati na Madini
Waziri -Sospeter Muhongo na Naibu Waziri-Medard Kalemani
Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu
Waziri -Jenista Mhagama
Wizara ya ofisi ya Rais, Utumishi na utawala
mawaziri wawili - Simbachawene na Kairuki
Ofisi ya Makamu wa...
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Kagame avunja Baraza la Mawaziri
![Paul Kagame](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Paul-Kagame.jpg)
Rais wa Rwanda, Paul Kagame
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amevunja baraza lake la mawaziri kwa kumuondoa aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Dk. Pierre Damien Habumuremyi na kumteua aliyekuwa Waziri wa Utumishi wa Umma wa nchi hiyo, Anastase Murekezi, kuchukua wadhifa huo.
Dk. Habumuremyi alikuwa Waziri Mkuu wa Ruwanda tangu Oktoba 7, mwaka 2011.
Murekezi amekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo tangu kumalizika vita vya mauaji ya kimbari mwaka 1994.
Waziri Mkuu wa kwanza alikuwa Faustin...
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Baraza la Mawaziri Kenya, labadilishwa
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Magufuli atangaza baraza la mawaziri
5 years ago
Habarileo16 Feb
Mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri
Rais John Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jR7nYvTvTS0/VGXJt1MzZTI/AAAAAAADM_o/79eHfU4RR4Y/s72-c/Kikwete_mbowe.jpg)
MBOWE BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-jR7nYvTvTS0/VGXJt1MzZTI/AAAAAAADM_o/79eHfU4RR4Y/s1600/Kikwete_mbowe.jpg)