Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri acheni jeuri, ubabe kuweni wasikivu

Kwa muda mrefu sasa, serikali imekuwa ikijinadi kuwa ni sikivu kwa matatizo ya wananchi wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

'Mahakimu acheni ubabe'

JAJI Kiongozi, Shaaban Lila amewataka mahakimu nchini kuacha kutumia ubabe na lugha za ukali wakati wanasikiliza na kutoa uamuzi katika mashauri mbalimbali mahakamani.

 

11 years ago

Habarileo

‘Acheni kudhalilisha Baraza la Mawaziri’

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dk, Richard Sezibera ameasa wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuacha tabia ya kudhalilisha Baraza la Mawaziri.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue

MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na  Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...

 

10 years ago

Mwananchi

Lini watawala watakuwa wasikivu kwa wananchi?

Msimamo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wa kusitisha kwa muda usiojulikana kufanyika kwa Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa iliyokuwa imepangwa kufanyika tarehe 30 Aprili mwaka huu, umepokelewa kwa hisia tofauti miongoni mwa Watanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ubabe ubabe: Brazil v Ujerumani

>Ujerumani inakutana na Brazil inayocheza kwa nguvu nyingi katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Dunia, huku wenyeji hao wakipania kutwaa ubingwa kama zawadi kwa Neymar.

 

10 years ago

Tanzania Daima

RC: Wakulima kuweni makini na mikataba

WAKULIMA wa zao la mpunga, mkoani Mbeya wametakiwa kuwa makini wanapotaka kuingia mikataba na makampuni mbalimbali yanayojihusisha na kilimo sambamba na benki zinazotoa mikopo ambayo lengo lao kubwa ni kutaka...

 

9 years ago

Habarileo

JK: Kuweni wazi na fedha za wafadhili

RAIS Jakaya Kikwete amezitaka asasi za kiraia kuweka wazi fedha wanazozipata kutoka kwa wafadhili na namna wanavyozitumia, na wanapotakiwa na Serikali kutoa taarifa hizo wasione kama wanaingiliwa utendaji wao.

 

11 years ago

Mwananchi

NHC: Kuweni makini na madalali

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limewatahadharisha wananchi kujiepusha na watu wanaojifanya madalali katika utoaji wa nyumba zake mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani