Logarusic awapa mamilioni wachezaji wa Simba
![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N5Gu-84hrexyyuDgcvtQGn5IqX3IfNodfNFr2-YR27i-D2eqLdAaocv1vh3mVTO0Z1WFn6g2JAB3kFxU9oKPZKd/1dar.gif?width=650)
Kocha wa Simba Zradvko Logarusic. Na Mwandishi Wetu KOCHA Zradvko Logarusic ameanzisha mfumo mpya wa kuwakata wachezaji fedha ambapo mwisho wa msimu utawaingizia wachezaji wake mamilioni ya fedha. Mamilioni hayo yatakayopatikana kupitia mfumo huo aliouanzisha yatatumiwa na wachezaji wake kununua vitu wanavyotaka. Habari za uhakika kutoka ndani ya Simba zimeeleza kuwa, Logarusic amekuwa mkali na kila mchezaji anayefanya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Logarusic: Wachezaji ‘mbumbumbu’
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Logarusic: Sina utani na wachezaji magoigoi
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Simba wamtega Logarusic
KLABU ya Simba inasubiri taarifa rasmi ya kocha mpya, Zdravok Logarusic kuhusu mkakati wake wa kudhibiti nidhamu katika timu kwa kuwakata mshahara nyota wanaochelewa kwenye mazoezi. Hivi karibuni Logarusic alisema...
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Logarusic aitega Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtqcsfvUVwLRLEWNAzY7foEHczIUYtvmCJri6r2sjbZhfjAwyPtLhlr7eb1XO10WVVBN9yvafhRe1aAJ7MPy5oy9/logaaaaaaaaaa.jpg?width=650)
Logarusic: Simba haitaenda Mapinduzi
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Simba yamfuta kazi Logarusic
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Logarusic kutimua wavivu Simba
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Logarusic aisuka upya Simba
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
Makamu wa Rais awapa moyo wachezaji wa Taifa Stars kuelekea mchezo wa marudiano
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akishangilia sambamba na baadhi ya Viongozi bao la kwanza la Taifa Stars lililofungwa na Elias Maguli, katika kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Kuwania kufuzu hatua ya makundi Kombe la dunia dhidi ya Algeria uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo timu hizo zilitoka sare ya 2-2, mabao ya Stars yalifungwa na Elias Maguli na Mbwana Samatta. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais...