Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Logarusic awapa mamilioni wachezaji wa Simba

Kocha wa Simba Zradvko Logarusic. Na Mwandishi Wetu
KOCHA Zradvko Logarusic ameanzisha mfumo mpya wa kuwakata wachezaji fedha ambapo mwisho wa msimu utawaingizia wachezaji wake mamilioni ya fedha. Mamilioni hayo yatakayopatikana kupitia mfumo huo aliouanzisha yatatumiwa na wachezaji wake kununua vitu wanavyotaka.
Habari za uhakika kutoka ndani ya Simba zimeeleza kuwa, Logarusic amekuwa mkali na kila mchezaji anayefanya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Logarusic: Wachezaji ‘mbumbumbu’

>Kocha wa Simba, Zravok Logarusic amesema wachezaji wengi Tanzania, hawana elimu ya mpira, lakini ni wepesi wa kulewa sifa kwa kujiona ‘masupa staa’.

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic: Sina utani na wachezaji magoigoi

Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic amesema yeye siyo mkali bali wachezaji wengi wa Tanzania wanapenda kusukumwa sukumwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba wamtega Logarusic

KLABU ya Simba inasubiri taarifa rasmi ya kocha mpya, Zdravok Logarusic kuhusu mkakati wake wa kudhibiti nidhamu katika timu kwa kuwakata mshahara nyota wanaochelewa kwenye mazoezi. Hivi karibuni Logarusic alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic aitega Simba

Baada ya kuisaidia Simba kupata sare 1-1 na Yanga, Kocha  Zdavko Logarusic amesema hatima ya kuendelea kuifundisha timu hiyo itajulikana wiki hii.

 

11 years ago

GPL

Logarusic: Simba haitaenda Mapinduzi

Kocha mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic. Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa Simba, Zdravko Logarusic, amesema kikosi chake hakitakwenda kushiriki michuano ya Mapinduzi visiwani Zanzibar, kama atakuwa bado yupo nacho. Logarusic, maarufu kama Loga, amesema ingawa michuano hiyo ina heshima kubwa lakini kwa hesabu ni migumu na inaiathiri timu. Akizungumza na gazeti hili, Loga alisema kwa kipindi cha mapumziko, timu kucheza hadi mechi...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yamfuta kazi Logarusic

Ajira ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba Zdravko Logarusic imefikia tamati rasmi jana baada ya uongozi wa klabu hiyo kusitisha mkataba wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic kutimua wavivu Simba

Kocha wa Simba, Mcrotia Zdravko Logarusic ametamka kwamba hana kikosi cha kwanza na kuwataka wachezaji wa klabu hiyo ya Wekundu wa Msimbazi kugombea namba kwani hatakuwa na huruma na mchezaji mvivu.

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic aisuka upya Simba

Licha ya  mwanzo wake mzuri  katika Ligi  Kuu Tanzania  Bara, kocha  wa Simba, Zdavko Logarusic ameamua kukisuka upya kikosi chake.

 

9 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais awapa moyo wachezaji wa Taifa Stars kuelekea mchezo wa marudiano

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akishangilia sambamba na baadhi ya Viongozi bao la kwanza la Taifa Stars lililofungwa na Elias Maguli, katika kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Kuwania kufuzu hatua ya makundi Kombe la dunia dhidi ya Algeria uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo timu hizo zilitoka sare ya 2-2, mabao ya Stars yalifungwa na Elias Maguli na Mbwana Samatta.  (Picha na OMR).

1B

3

Makamu wa Rais...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani