Simba yamfuta kazi Logarusic
Ajira ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba Zdravko Logarusic imefikia tamati rasmi jana baada ya uongozi wa klabu hiyo kusitisha mkataba wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV18 Dec
Klabu Ya Chelsea Yamfuta kazi kocha Jose Mourinho.
Bodi ya klabu ya Chelsea The Blues ya England hatimaye imefikia uamauzi wa kumfuta kazi kocha Jose Mourinho chini ya mmiliki wake Roman Abramovic kufuatia matokeo mabaya kwenye ligi kuu ya England ikiwa katika nafasi ya 16 ya msimamo wa ligi hiyo.
Klabu hiyo bado haijatangaza rasmi lakini tayari bodi imepeana mkono wa kwaheri ikiwa ni miezi saba tangu alipoiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa EPL msimu uliopita.
Kipigo cha jumatatu wiki hii dhidi ya Leicester City cha mabao 2-1...
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Simba wamtega Logarusic
KLABU ya Simba inasubiri taarifa rasmi ya kocha mpya, Zdravok Logarusic kuhusu mkakati wake wa kudhibiti nidhamu katika timu kwa kuwakata mshahara nyota wanaochelewa kwenye mazoezi. Hivi karibuni Logarusic alisema...
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Logarusic aitega Simba
11 years ago
GPL
Logarusic: Simba haitaenda Mapinduzi
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Logarusic kutimua wavivu Simba
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Logarusic aisuka upya Simba
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Simba yaanza kusaka mrithi wa Logarusic
11 years ago
GPL
Logarusic awapa mamilioni wachezaji wa Simba
11 years ago
GPL
Logarusic amzuia Kapombe kurudi Simba