Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yaanza kusaka mrithi wa Logarusic

Uongozi wa Simba umemuweka kiporo kocha wake, Zdravko Logarusic huku ikianza harakati za kurusha ndoano zake kwa Mserbia Milovan Cirkovic na kocha wa Gor Mahia ya Kenya, Robert Wiliamson ‘Bobby’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA

Kocha Patrick Phiri amesema ametaarifiwa kuhusiana na kibarua chake kusitishwa.
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...

 

10 years ago

Mwananchi

KNCU yaanza kusaka soko Korea na China

Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa mkoani Kilimanjaro (KNCU), kimeanza kujitanua kibiashara kwa kutafuta masoko mapya katika nchi za Korea na China.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba wamtega Logarusic

KLABU ya Simba inasubiri taarifa rasmi ya kocha mpya, Zdravok Logarusic kuhusu mkakati wake wa kudhibiti nidhamu katika timu kwa kuwakata mshahara nyota wanaochelewa kwenye mazoezi. Hivi karibuni Logarusic alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic aitega Simba

Baada ya kuisaidia Simba kupata sare 1-1 na Yanga, Kocha  Zdavko Logarusic amesema hatima ya kuendelea kuifundisha timu hiyo itajulikana wiki hii.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yamfuta kazi Logarusic

Ajira ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba Zdravko Logarusic imefikia tamati rasmi jana baada ya uongozi wa klabu hiyo kusitisha mkataba wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic aisuka upya Simba

Licha ya  mwanzo wake mzuri  katika Ligi  Kuu Tanzania  Bara, kocha  wa Simba, Zdavko Logarusic ameamua kukisuka upya kikosi chake.

 

11 years ago

GPL

Logarusic: Simba haitaenda Mapinduzi

Kocha mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic. Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa Simba, Zdravko Logarusic, amesema kikosi chake hakitakwenda kushiriki michuano ya Mapinduzi visiwani Zanzibar, kama atakuwa bado yupo nacho. Logarusic, maarufu kama Loga, amesema ingawa michuano hiyo ina heshima kubwa lakini kwa hesabu ni migumu na inaiathiri timu. Akizungumza na gazeti hili, Loga alisema kwa kipindi cha mapumziko, timu kucheza hadi mechi...

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic kutimua wavivu Simba

Kocha wa Simba, Mcrotia Zdravko Logarusic ametamka kwamba hana kikosi cha kwanza na kuwataka wachezaji wa klabu hiyo ya Wekundu wa Msimbazi kugombea namba kwani hatakuwa na huruma na mchezaji mvivu.

 

9 years ago

StarTV

Singida yaanza kusaka maduka yanayouza kiholela dawa za kutolea mimba

Idara ya afya katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida imeanza kufanya msako mkali kwenye maduka yanayouza kiholela dawa za kutoa mimba pamoja na zile za kuongeza nguvu za kiume.

Uamuzi huo umefikiwa baada ya kubainika kuwa kati ya vifo 10 vya uzazi vilivyotokea katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Agosti mwaka huu vingi vimesababishwa na wahusika kujaribu kutoa mimba kwa kutumia dawa walizonunua kiholela madukani suala ambalo ni kinyume cha sheria.

Ni katika kipindi ambacho Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani