Simba yaanza kusaka mrithi wa Logarusic
Uongozi wa Simba umemuweka kiporo kocha wake, Zdravko Logarusic huku ikianza harakati za kurusha ndoano zake kwa Mserbia Milovan Cirkovic na kocha wa Gor Mahia ya Kenya, Robert Wiliamson ‘Bobby’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s72-c/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s1600/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
10 years ago
Mwananchi18 Aug
KNCU yaanza kusaka soko Korea na China
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Simba wamtega Logarusic
KLABU ya Simba inasubiri taarifa rasmi ya kocha mpya, Zdravok Logarusic kuhusu mkakati wake wa kudhibiti nidhamu katika timu kwa kuwakata mshahara nyota wanaochelewa kwenye mazoezi. Hivi karibuni Logarusic alisema...
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Logarusic aitega Simba
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Simba yamfuta kazi Logarusic
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Logarusic aisuka upya Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtqcsfvUVwLRLEWNAzY7foEHczIUYtvmCJri6r2sjbZhfjAwyPtLhlr7eb1XO10WVVBN9yvafhRe1aAJ7MPy5oy9/logaaaaaaaaaa.jpg?width=650)
Logarusic: Simba haitaenda Mapinduzi
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Logarusic kutimua wavivu Simba
9 years ago
StarTV27 Aug
Singida yaanza kusaka maduka yanayouza kiholela dawa za kutolea mimba
Idara ya afya katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida imeanza kufanya msako mkali kwenye maduka yanayouza kiholela dawa za kutoa mimba pamoja na zile za kuongeza nguvu za kiume.
Uamuzi huo umefikiwa baada ya kubainika kuwa kati ya vifo 10 vya uzazi vilivyotokea katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Agosti mwaka huu vingi vimesababishwa na wahusika kujaribu kutoa mimba kwa kutumia dawa walizonunua kiholela madukani suala ambalo ni kinyume cha sheria.
Ni katika kipindi ambacho Tanzania...