Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KNCU yaanza kusaka soko Korea na China

Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa mkoani Kilimanjaro (KNCU), kimeanza kujitanua kibiashara kwa kutafuta masoko mapya katika nchi za Korea na China.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Simba yaanza kusaka mrithi wa Logarusic

Uongozi wa Simba umemuweka kiporo kocha wake, Zdravko Logarusic huku ikianza harakati za kurusha ndoano zake kwa Mserbia Milovan Cirkovic na kocha wa Gor Mahia ya Kenya, Robert Wiliamson ‘Bobby’.

 

9 years ago

StarTV

Singida yaanza kusaka maduka yanayouza kiholela dawa za kutolea mimba

Idara ya afya katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida imeanza kufanya msako mkali kwenye maduka yanayouza kiholela dawa za kutoa mimba pamoja na zile za kuongeza nguvu za kiume.

Uamuzi huo umefikiwa baada ya kubainika kuwa kati ya vifo 10 vya uzazi vilivyotokea katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Agosti mwaka huu vingi vimesababishwa na wahusika kujaribu kutoa mimba kwa kutumia dawa walizonunua kiholela madukani suala ambalo ni kinyume cha sheria.

Ni katika kipindi ambacho Tanzania...

 

9 years ago

Michuzi

UONGOZI MPYA WA KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAKA UPYA MAWAKALA WA MIKOA

Kutoka maktaba: Shindano la Miss Tanzania la kwanza mwaka 1967 ambapo mshindi aliibuka Theresa Shayo (No. 5) na ambalo lilikuwa la mwisho baada ya serikali kulipiga marufuku kwa kile kilichoitwa kukiuka maadili ya Mtanzania. Mwaka 2004 Miss Tanzania ikaibuka na mshindi alikuwa Ainda Maeda. Mwaka jana shindano hilo lilifungiwa kwa muda kabla ya Baraza la Sana la Taifa kuruhusu liendelee tena hivi karibuni.
--------------------------------------------------------------Kamati ya Miss Tanzania...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM yaanza mchakato wa kusaka wenye sifa za kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

CCM

Muonekano wa jengo la Ofisi ndogo ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wana-CCM wote wenye sifa husika. 

Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-

Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

China, Japan na Korea kusini kukutana

Mawaziri wa mashauri ya kigeni wa China,Japan na Korea kusini wanakutana mjini Seoul leo jumamosi katika mkutano wa kiusalama

 

9 years ago

Michuzi

MAJALIWA AKUTANA NA MABALOZI WA CHINA, KOREA NA SUDAN

 Waziri Mkuu, Majliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na balozi wa China Nchini Dkt. Lu Youqing kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es slaam  Disemba 1, 2015.  Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Sudan nchini, Dkt.Yassir  Mohamed Ali Ofisini kwake jijini Dar es salaam Disemba 1, 2015. Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akizungumza na balozi wa Korea nchini Mhe. Chung Il ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Disemba 1,...

 

10 years ago

Michuzi

WATAALAM WA BIASHARA NA VIWANDA TANZANIA KUTEMBELEA CHINA KUSAKA FURSA ZA KIBIASHARA ZAIDI.

TIMU ya wataalam wa biashara kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara na wafanyabiashara wengine wa nchini Tanzania wanatarajiwa kutembelea China baadaye Julai mwaka huu, ikiwa ni katika jitihada za kutafuta fursa za ki biashara ambazo zinaweza kutumika kuleta maendeleo nchini.
Hatua hiyo inakuja miezi michache baada ya ziara ya Rais Jakaya Kikwete nchini ambapo serikali ya China ilikubali kusaidia Tanzania katika maendeleo na uendeshaji wa Viwanda nchini.
Akizungumza wakati wa sherehe ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Soko la Nywele bandia lashamiri China

Nywele za bandia zina soko kubwa wanunuzi hawawezi kugundua kuwa nywele hizo huchanganywa na manyoya ya Mbuzi

 

5 years ago

CNBC

US airlines waive cancellation fees for South Korea flights as coronavirus spreads beyond China

US airlines waive cancellation fees for South Korea flights as coronavirus spreads beyond China  CNBCChina’s Airlines Begin Resuming International Services  Simple FlyingCarriers suspending flights to South Korea amid coronavirus scare  Focus Taiwan News ChannelCoronavirus live updates: Korean Air cabin crew member tests positive, Singapore Airlines freezes hiring  CNBCA Look At Air China’s Fifth Freedom Routes  Simple FlyingView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani