UONGOZI MPYA WA KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAKA UPYA MAWAKALA WA MIKOA
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_8F0wDWbXI/VgAxbOYZ4MI/AAAAAAAH6kY/3Pcu5R4J0Ek/s72-c/michuz_041.jpg)
Kutoka maktaba: Shindano la Miss Tanzania la kwanza mwaka 1967 ambapo mshindi aliibuka Theresa Shayo (No. 5) na ambalo lilikuwa la mwisho baada ya serikali kulipiga marufuku kwa kile kilichoitwa kukiuka maadili ya Mtanzania. Mwaka 2004 Miss Tanzania ikaibuka na mshindi alikuwa Ainda Maeda. Mwaka jana shindano hilo lilifungiwa kwa muda kabla ya Baraza la Sana la Taifa kuruhusu liendelee tena hivi karibuni.
--------------------------------------------------------------Kamati ya Miss Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uaeCbB0XD9k/VgIe4Dp2VDI/AAAAAAAH61c/Li3FuJkQBl0/s72-c/Juma-Abbas-Pinto.jpg)
KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAJILI MAWAKALA WAPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uaeCbB0XD9k/VgIe4Dp2VDI/AAAAAAAH61c/Li3FuJkQBl0/s320/Juma-Abbas-Pinto.jpg)
Mashindano yatakayo fanyika ni ya mikoa tu, hakutakuwa na mashindano katika ngazi ya kitongoji, wilaya wala Kanda. Sifa za kuwa Wakala wa Miss Tanzania ni pamoja na 1) Uwe na Kampuni iliyosajiliwa na Mamlaka husika ya...
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Jokate Mwegelo msemaji kamati mpya Miss Tanzania
NA ESTHER MNYIKA
MSIMAMIZI wa mashindano ya Urembo Tanzania, ‘Miss Tanzania’, Hashimu Lundenga, ametambulisha kamati mpya ya muda inayoundwa na wajumbe 12 akiwemo Jokate Mwegelo aliyekuwa Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006.
Mwenyekiti wa kamati hiyo ni Juma Pinto, makamu mwenyekiti, Lucas Ritta, katibu mkuu ni Doris Mollel na Joketi Mwegelo ambaye ndiye anakuwa msemaji wa kamati hiyo.
Wajumbe wengine ni Hoyce Temu, Mohamed Bawazir, Gladyz Shao, Magdalena Munisi, Shah Ramadhani, Hamm...
9 years ago
Bongo527 Aug
Kamati mpya ya Miss Tanzania yatambulishwa, wamo warembo Jokate Mwegelo na Hoyce Temu
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Nt0EEOWlKgs/UwTerOV_qDI/AAAAAAAFOC4/P0i9MZoqODs/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Kamati ya Taifa ya Uongozi ya TASAF yaanza kukagua miradi Mkoani Ruvuma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nt0EEOWlKgs/UwTerOV_qDI/AAAAAAAFOC4/P0i9MZoqODs/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pO2PCF4o1PU/UwTereafvyI/AAAAAAAFODA/4NUJUXk3C9o/s1600/unnamed+(3).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tTPVg6aN28g/UzFVDudwjtI/AAAAAAAFWKo/sXOmWsIeblc/s72-c/images.jpg)
ORODHA YA MAWAKALA REDDS MISS TANZANIA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-tTPVg6aN28g/UzFVDudwjtI/AAAAAAAFWKo/sXOmWsIeblc/s1600/images.jpg)
10 years ago
Mwananchi10 Nov
MAONI: Waandaaji Miss Tanzania wajitathmini upya
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
CCM yaanza mchakato wa kusaka wenye sifa za kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Muonekano wa jengo la Ofisi ndogo ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wana-CCM wote wenye sifa husika.
Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...
10 years ago
VijimamboKamati ya Bloggers Tanzania Yaanza Kujadili Rasimu
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Kamati Miss Tanzania yatetewa