Kamati ya Bloggers Tanzania Yaanza Kujadili Rasimu
Mwenyekiti wa Muda wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii Tanzania (Bloggers), Joachim Mushi (wa pili kushoto), akizungumza wakati akifungua majadiliano kwa wajumbe wa kamati ya muda ya wamiliki wa mitandao ya jamii Tanzania ya kujadili rasimu ya Katiba ya umoja huo Dar es Salaam leo. Majadiliano hayo yameanza jana kujadili rasimu ya katiba kabla ya kuipitisha kwa hatua za usajili wa Chama cha Wamiliki wa Mitandao ya Jamii Tanzania (Bloggers). Kushoto ni Mjumbe wa Kamati hiyo ya muda kutoka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMATI YA MUDA YA BLOGGERS TANZANIA YAANZA KUPITIA RASIMU YA KATIBA
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Kamati mbili zakamilisha kujadili #rasimu, zote zapendekeza serikali mbili[VIDEO]
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PHlTBLRI_Sc/VTif7Czm57I/AAAAAAABMUc/sRMpiL3FTwk/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
TAARIFA KWA BLOGGERS KUHUSU UANDIKISHAJI WANACHAMA 'TANZANIA BLOGGERS NETWORK' (TBN)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PHlTBLRI_Sc/VTif7Czm57I/AAAAAAABMUc/sRMpiL3FTwk/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
ni wamiliki na waendeshaji wote wa mitandao ya kijamii (blogs na forums) Tanzania na Watanzania wanaofanya kazi kama hiyo nje ya nchi.
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo. Kwa wa kazi wa Dar es Salaam wenye sifa ambao wanataka...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uaeCbB0XD9k/VgIe4Dp2VDI/AAAAAAAH61c/Li3FuJkQBl0/s72-c/Juma-Abbas-Pinto.jpg)
KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAJILI MAWAKALA WAPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uaeCbB0XD9k/VgIe4Dp2VDI/AAAAAAAH61c/Li3FuJkQBl0/s320/Juma-Abbas-Pinto.jpg)
Mashindano yatakayo fanyika ni ya mikoa tu, hakutakuwa na mashindano katika ngazi ya kitongoji, wilaya wala Kanda. Sifa za kuwa Wakala wa Miss Tanzania ni pamoja na 1) Uwe na Kampuni iliyosajiliwa na Mamlaka husika ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E_8F0wDWbXI/VgAxbOYZ4MI/AAAAAAAH6kY/3Pcu5R4J0Ek/s72-c/michuz_041.jpg)
UONGOZI MPYA WA KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAKA UPYA MAWAKALA WA MIKOA
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_8F0wDWbXI/VgAxbOYZ4MI/AAAAAAAH6kY/3Pcu5R4J0Ek/s640/michuz_041.jpg)
--------------------------------------------------------------Kamati ya Miss Tanzania...
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Tahliso kujadili rasimu ya Katiba
JUMUIYA ya Wanafunzi wa Vyuo vya Juu nchini (Tahliso) inatarajia kufanya mkutano mwishoni mwa Aprili jijini Dar es Salaam kujadili mambo mbalimbali ikiwemo masuala yahusuyo rasimu ya pili ya Katiba....
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Ukawa: Hatutakubali kujadili rasimu nyingine
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Tuache kujadili hotuba za JK, Warioba tuboreshe Rasimu
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Jazba iepukwe katika kujadili Rasimu ya Katiba