KAMATI YA MUDA YA BLOGGERS TANZANIA YAANZA KUPITIA RASIMU YA KATIBA
Mwenyekiti wa Muda wa Jumuiya ya Wamiliki wa Mitandao ya Jamii Tanzania (Bloggers), Joachim Mushi (wa pili kushoto), akizungumza wakati akifungua majadiliano kwa wajumbe wa kamati ya muda ya Jumuiya ya wamiliki wa mitandao ya jamii Tanzania ya kujadili rasimu ya Katiba ya umoja huo Dar es Salaam leo. Majadiliano hayo yameanza jana kujadili rasimu ya katiba kabla ya kuipitisha kwa hatua za usajili wa Jumuiya ya Wamiliki wa Mitandao ya Jamii Tanzania (Bloggers). Kushoto ni Mjumbe wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKamati ya Bloggers Tanzania Yaanza Kujadili Rasimu
11 years ago
Habarileo31 Mar
Wabunge kuanza kupitia rasimu ya Katiba
BUNGE Maalumu la Katiba linaendelea na kikao chake na miongoni mwa shughuli zinazotarajiwa kufanywa kuanzia leo, ni kurekebisha baadhi ya kanuni za uendeshaji wake na kuanza kujadiliwa kwa ibara zilizopo ndani ya rasimu ya Katiba.
10 years ago
Michuzi02 Sep
Kamati kuanza kuwasilisha Sura zilizosalia za Rasimu ya Katiba Mpya
10 years ago
GPL KAMATI KUANZA KUWASILISHA SURA ZILIZOSALIA ZA RASIMU YA KATIBA MPYA
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
Kamati mbalimbai zawasilisha maoni yao uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya Rasimu ya Katiba Mpya
Mwenyekiti wa Kamati namba mbili (2) Shamsi Vuai Nahodha akiwasilisha maoni ya wajumbe wa Kamati yake leo mjini Dodoma juu ya uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya wa rasimu ya Katiba mpya.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati namba tano Assumpter Mshama akiwasilisha maoni ya wajumbe wa Kamati yake leo mjini Dodoma juu ya uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya wa rasimu ya Katiba mpya.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa Bunge hilo leo mjini Dodoma...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Kamati #Bunge la #Katiba zaongezewa muda, wajumbe waonesha wasiwasi [VIDEO]
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PHlTBLRI_Sc/VTif7Czm57I/AAAAAAABMUc/sRMpiL3FTwk/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
TAARIFA KWA BLOGGERS KUHUSU UANDIKISHAJI WANACHAMA 'TANZANIA BLOGGERS NETWORK' (TBN)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PHlTBLRI_Sc/VTif7Czm57I/AAAAAAABMUc/sRMpiL3FTwk/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
ni wamiliki na waendeshaji wote wa mitandao ya kijamii (blogs na forums) Tanzania na Watanzania wanaofanya kazi kama hiyo nje ya nchi.
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo. Kwa wa kazi wa Dar es Salaam wenye sifa ambao wanataka...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uaeCbB0XD9k/VgIe4Dp2VDI/AAAAAAAH61c/Li3FuJkQBl0/s72-c/Juma-Abbas-Pinto.jpg)
KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAJILI MAWAKALA WAPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uaeCbB0XD9k/VgIe4Dp2VDI/AAAAAAAH61c/Li3FuJkQBl0/s320/Juma-Abbas-Pinto.jpg)
Mashindano yatakayo fanyika ni ya mikoa tu, hakutakuwa na mashindano katika ngazi ya kitongoji, wilaya wala Kanda. Sifa za kuwa Wakala wa Miss Tanzania ni pamoja na 1) Uwe na Kampuni iliyosajiliwa na Mamlaka husika ya...