Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAJILI MAWAKALA WAPYA

Juma Pinto Mwenyekiti Miss TanzaniaKamati ya Miss Tanzania inapenda kuwatangazia wadau wote wanaotaka kuandaa Mashindano ya urembo ya Miss Tanzania kwa mwaka 2016 kutuma maombi yao ya uwakala kuanzia sasa hadi tarehe 30 Novemba 2015 ndio mwisho wa kupokea maombi hayo.
 Mashindano yatakayo fanyika ni ya mikoa tu, hakutakuwa na mashindano katika ngazi ya kitongoji, wilaya wala Kanda. Sifa za kuwa Wakala wa Miss Tanzania ni pamoja na 1)      Uwe na Kampuni iliyosajiliwa na Mamlaka husika ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

UONGOZI MPYA WA KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAKA UPYA MAWAKALA WA MIKOA

Kutoka maktaba: Shindano la Miss Tanzania la kwanza mwaka 1967 ambapo mshindi aliibuka Theresa Shayo (No. 5) na ambalo lilikuwa la mwisho baada ya serikali kulipiga marufuku kwa kile kilichoitwa kukiuka maadili ya Mtanzania. Mwaka 2004 Miss Tanzania ikaibuka na mshindi alikuwa Ainda Maeda. Mwaka jana shindano hilo lilifungiwa kwa muda kabla ya Baraza la Sana la Taifa kuruhusu liendelee tena hivi karibuni.
--------------------------------------------------------------Kamati ya Miss Tanzania...

 

11 years ago

Michuzi

ORODHA YA MAWAKALA REDDS MISS TANZANIA 2014

Napenda kuwajulisha kwamba Semina ya Mawakala wanaoandaa mashindano ya urembo ya Redds Miss Tanzania 2014 inafanyika kesho tarehe 25 na 26 Machi 2014, katika ukumbi wa hotel ya Regency Park iliyopo Mikocheni jijini DSM.  Semina hii ambayo itajumuisha Mawakala zaidi ya 70 kutoka Kanda, Wilaya, Vyuo na Mikoa yote ya Tanzania itawapa nafasi Mawakala kujadili Mafanikio na Changamoto za mashindano haya ambayo kwa mwaka huu yanatimiza miaka 20 tangu yaanzishwe mwaka 1994.  Kwa mara nyingine...

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam kusajili wapya

Klabu ya Azam ina mipango ya kusajili wachezaji kutoka nchi za Zambia, Ivory Coast na Rwanda.

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: Ngassa yametimia Sauzi, Yanga kusajili 11 wapya

>Wakati Mrisho Ngassa akisaini mkataba wa miaka  minne wa kuichezea Free State Stars ya Afrika Kusini, Yanga  imesema itasajili wachezaji 11 wapya akiwamo mshambuliaji wa FC Platinum ya Zimbabwe, Donald Ngoma.

 

10 years ago

Vijimambo

Kamati ya Bloggers Tanzania Yaanza Kujadili Rasimu

  Mwenyekiti wa Muda wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii Tanzania (Bloggers), Joachim Mushi (wa pili kushoto), akizungumza wakati akifungua majadiliano kwa wajumbe wa kamati ya muda ya wamiliki wa mitandao ya jamii Tanzania ya kujadili rasimu ya Katiba ya umoja huo Dar es Salaam leo. Majadiliano hayo yameanza jana kujadili rasimu ya katiba kabla ya kuipitisha kwa hatua za usajili wa Chama cha Wamiliki wa Mitandao ya Jamii Tanzania (Bloggers).  Kushoto ni Mjumbe wa Kamati hiyo ya muda kutoka...

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati Miss Tanzania yatetewa

Wadau na waandaaji wa mashindano ya ulimbwende nchini, wameitetea Kamati ya Miss Tanzania kwa kusema kuwa uamuzi uliochukuliwa na serikali wa kuyafungia kwa miaka miwili, utawaathiri wengi tofauti na inavyodhaniwa.

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA MUDA YA BLOGGERS TANZANIA YAANZA KUPITIA RASIMU YA KATIBA

  Mwenyekiti wa Muda wa Jumuiya ya Wamiliki wa Mitandao ya Jamii Tanzania (Bloggers), Joachim Mushi (wa pili kushoto), akizungumza wakati akifungua majadiliano kwa wajumbe wa kamati ya muda ya Jumuiya ya wamiliki wa mitandao ya jamii Tanzania ya kujadili rasimu ya Katiba ya umoja huo Dar es Salaam leo. Majadiliano hayo yameanza jana kujadili rasimu ya katiba kabla ya kuipitisha kwa hatua za usajili wa Jumuiya ya Wamiliki wa Mitandao ya Jamii Tanzania (Bloggers).  Kushoto ni Mjumbe wa...

 

9 years ago

Michuzi

BASATA YAIPONGEZA KAMATI YA MISS UNIVERSE TANZANIA


BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) limeipongeza kampuni ya Compass Communications Tanzania kwa kufanya mashindano bora ya Miss Universe hapa nchini.
Kauli hiyo imetolewa na  Mratibu wa mashindano ya Miss Universe Fausta Magoti wakati wa kufanya tathimini ya mashindano ya mwaka jana ambapo, Caroline Benard aliibuka mshindi.
Magoti alisema kuwa pamoja na kampuni ya Compass kuanza kushiriki katika mashindano ya Miss Universe mwaka 2007, waliweza kufanya vyema na kuitangaza Tanzania nje ya mipaka...

 

9 years ago

Mtanzania

Jokate Mwegelo msemaji kamati mpya Miss Tanzania

Jokate-4-600x989NA ESTHER MNYIKA

MSIMAMIZI wa mashindano ya Urembo Tanzania, ‘Miss Tanzania’, Hashimu Lundenga, ametambulisha kamati mpya ya muda inayoundwa na wajumbe 12 akiwemo Jokate Mwegelo aliyekuwa Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006.

Mwenyekiti wa kamati hiyo ni Juma Pinto, makamu mwenyekiti, Lucas Ritta, katibu mkuu ni Doris Mollel na Joketi Mwegelo ambaye ndiye anakuwa msemaji wa kamati hiyo.

Wajumbe wengine ni Hoyce Temu, Mohamed Bawazir, Gladyz Shao, Magdalena Munisi, Shah Ramadhani, Hamm...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani