KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAJILI MAWAKALA WAPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uaeCbB0XD9k/VgIe4Dp2VDI/AAAAAAAH61c/Li3FuJkQBl0/s72-c/Juma-Abbas-Pinto.jpg)
Juma Pinto Mwenyekiti Miss TanzaniaKamati ya Miss Tanzania inapenda kuwatangazia wadau wote wanaotaka kuandaa Mashindano ya urembo ya Miss Tanzania kwa mwaka 2016 kutuma maombi yao ya uwakala kuanzia sasa hadi tarehe 30 Novemba 2015 ndio mwisho wa kupokea maombi hayo.
Mashindano yatakayo fanyika ni ya mikoa tu, hakutakuwa na mashindano katika ngazi ya kitongoji, wilaya wala Kanda. Sifa za kuwa Wakala wa Miss Tanzania ni pamoja na 1) Uwe na Kampuni iliyosajiliwa na Mamlaka husika ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E_8F0wDWbXI/VgAxbOYZ4MI/AAAAAAAH6kY/3Pcu5R4J0Ek/s72-c/michuz_041.jpg)
UONGOZI MPYA WA KAMATI YA MISS TANZANIA YAANZA KUSAKA UPYA MAWAKALA WA MIKOA
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_8F0wDWbXI/VgAxbOYZ4MI/AAAAAAAH6kY/3Pcu5R4J0Ek/s640/michuz_041.jpg)
--------------------------------------------------------------Kamati ya Miss Tanzania...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tTPVg6aN28g/UzFVDudwjtI/AAAAAAAFWKo/sXOmWsIeblc/s72-c/images.jpg)
ORODHA YA MAWAKALA REDDS MISS TANZANIA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-tTPVg6aN28g/UzFVDudwjtI/AAAAAAAFWKo/sXOmWsIeblc/s1600/images.jpg)
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Azam kusajili wapya
10 years ago
Mwananchi13 May
USAJILI: Ngassa yametimia Sauzi, Yanga kusajili 11 wapya
10 years ago
VijimamboKamati ya Bloggers Tanzania Yaanza Kujadili Rasimu
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Kamati Miss Tanzania yatetewa
10 years ago
MichuziKAMATI YA MUDA YA BLOGGERS TANZANIA YAANZA KUPITIA RASIMU YA KATIBA
9 years ago
MichuziBASATA YAIPONGEZA KAMATI YA MISS UNIVERSE TANZANIA
Kauli hiyo imetolewa na Mratibu wa mashindano ya Miss Universe Fausta Magoti wakati wa kufanya tathimini ya mashindano ya mwaka jana ambapo, Caroline Benard aliibuka mshindi.
Magoti alisema kuwa pamoja na kampuni ya Compass kuanza kushiriki katika mashindano ya Miss Universe mwaka 2007, waliweza kufanya vyema na kuitangaza Tanzania nje ya mipaka...
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Jokate Mwegelo msemaji kamati mpya Miss Tanzania
NA ESTHER MNYIKA
MSIMAMIZI wa mashindano ya Urembo Tanzania, ‘Miss Tanzania’, Hashimu Lundenga, ametambulisha kamati mpya ya muda inayoundwa na wajumbe 12 akiwemo Jokate Mwegelo aliyekuwa Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006.
Mwenyekiti wa kamati hiyo ni Juma Pinto, makamu mwenyekiti, Lucas Ritta, katibu mkuu ni Doris Mollel na Joketi Mwegelo ambaye ndiye anakuwa msemaji wa kamati hiyo.
Wajumbe wengine ni Hoyce Temu, Mohamed Bawazir, Gladyz Shao, Magdalena Munisi, Shah Ramadhani, Hamm...