Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


China, Japan na Korea kusini kukutana

Mawaziri wa mashauri ya kigeni wa China,Japan na Korea kusini wanakutana mjini Seoul leo jumamosi katika mkutano wa kiusalama

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Usalama:Japan na China kukutana

China na Japan wanafanya mkutano wa kwanza wa kiwango cha juu wa usalama katika muda wa miaka minne.

 

9 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI AONANA NA MABALOZI WA CHINA NA KOREA KUSINI, IKULU JIJINI DAR LEO

Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Balozi wa Korea ya Kusini hapa nchini Mhe. Chung IL, wakati akimkaribisha na kufanya nae mazungumzo, Ikulu jijini Dar es salaam leo Novemba 30, 2015.Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Korea ya Kusini hapa nchini Mhe. Chung IL, Ikulu jijini Dar es salaam leo Novemba 30, 2015.Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing, Ikulu jijini Dar es salaam leo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani

Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini

Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia

 

10 years ago

Vijimambo

Magereza ya Korea Kusini yanatisha

Kamati ya haki za binadamu ya Umoja wa mataifa imeidhinisha azimio linaloliomba baraza la usalama la Umoja huo kuwakilisha malalamiko kuhusu haki za binadamu nchini Korea Kaskazini kwa mahakama ya kimataiafa ya uhalifu.

Kamati hiyo imepitisha hoja ya kufanywa uchunguzi dhidi ya tuhuma za uhalifu dhidi ya binaadamu nchini Korea Kaskazini.

Ripoti ya tume ya uchunguzi ya umoja huo ilitangaza mapema mwaka huu kwamba kuna ukiukaji mkubwa wa haki za binaadamu Korea kaskazini kushinda muda, uzito na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea ya Kusini yawashikilia wamrekani

Raia watatu wenye asili ya Marekani,ambao wanashikiliwa Korea ya Kusini,wameomba usaidizi wa kuachiliwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba wazee wa Korea Kusini

Umasikini na changamoto za maisha zawalazimu wazee wa umri wa miaka 71 kufanya ukahaba Korea Kusini

 

11 years ago

BBCSwahili

Janga baharini Korea Kusini

Zaidi ya watu 300 bado hawajapatikana , wawili wamefariki na wengine 164 wameokolewa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani