Logarusic: Simba haitaenda Mapinduzi

Kocha mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic. Na Mwandishi Wetu KOCHA wa Simba, Zdravko Logarusic, amesema kikosi chake hakitakwenda kushiriki michuano ya Mapinduzi visiwani Zanzibar, kama atakuwa bado yupo nacho. Logarusic, maarufu kama Loga, amesema ingawa michuano hiyo ina heshima kubwa lakini kwa hesabu ni migumu na inaiathiri timu. Akizungumza na gazeti hili, Loga alisema kwa kipindi cha mapumziko, timu kucheza hadi mechi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
Logarusic: Kombe la Mapinduzi si ishu
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Simba wamtega Logarusic
KLABU ya Simba inasubiri taarifa rasmi ya kocha mpya, Zdravok Logarusic kuhusu mkakati wake wa kudhibiti nidhamu katika timu kwa kuwakata mshahara nyota wanaochelewa kwenye mazoezi. Hivi karibuni Logarusic alisema...
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Logarusic aitega Simba
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Logarusic kutimua wavivu Simba
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Simba yamfuta kazi Logarusic
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Logarusic aisuka upya Simba
11 years ago
GPL
Logarusic amzuia Kapombe kurudi Simba
11 years ago
GPL
Logarusic awapa mamilioni wachezaji wa Simba