Ushahidi wa upande wa Utetezi wa mshtakiwa wa pili, Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona kuendelea kusikilizwa na kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-150d0TApj7w/VVoQsu5ILmI/AAAAAAAHYGs/bs6b7D-rM-w/s72-c/Gray-Mgonja-Daniel-Yona-Basil-Mramba.jpg)
Ushahidi wa upande wa Utetezi wa mshtakiwa wa pili, Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona kuendelea kusikilizwa na kesho na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, baada ya leo mwenyekiti wa jopo la mahakimu wanaosikiliza kesi hiyo, Jaji John Utamwa kuwa udhudu wa kikazi.
Jaji Utamwa na Jaji Samu Rumanyika walianza kusikiliza kesi hiyo wakiwa Mahakimu Wakazi Wakuu kabla ya kupanda na kuwa Majaji wa Mahakama Kuu Tanzania, ambao kwa sasa wako, Kanda ya Tabora.
Kesi hiyo iliahirishwa leo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTEGETA ESCROW: WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. MUHONGO ATOA UTETEZI WA SERIKALI BUNGENI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY1-04HTbqY/Ux8tsvSFNZI/AAAAAAAFS7Y/4GxUalj87EM/s72-c/1+(1).jpg)
Mahakama yawarusu kwenda kutibiwa nje ya nchi Mawaziri Waandamizi wa zamani,Basil Mramba na Daniel Yona
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY1-04HTbqY/Ux8tsvSFNZI/AAAAAAAFS7Y/4GxUalj87EM/s1600/1+(1).jpg)
Uamuzi huo umetolewa leo mahakamani hapo na Jaji John Utamwa baada ya washtakiwa hao kuwasilisha maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi.
Upande wa Jamhuri ulidai kuwa...
10 years ago
VijimamboKANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TdsXVCxyBM/VKLEoGpQUWI/AAAAAAADK_Q/fLIBFnrqdds/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE AFUNGUA MKUTANO WA KUJADILI NISHATI ENDELEVU NCHINI KWA WOTE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s72-c/IMG_3318.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU KWAAJILI YA USHIRIKI WA WATANZANIA KATIKA SERA YA NISHATI NA MADINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s640/IMG_3318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eP1noyCn96g/VY0lnwv1nfI/AAAAAAAHkNg/m_fD72zB-aI/s640/IMG_3291.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
KATIBU WIZARA YA NISHATI NA MADINI ATAKA KAULI ZA "NJOO KESHO" ZIKOME
![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n9yvc5iikhk/VkRef5L8scI/AAAAAAAIFaU/9ioazoxntZc/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MsbGWUE5i8k/VkRef35fTCI/AAAAAAAIFaQ/9qWmmq28q0o/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
10 years ago
Mtanzania22 May
Yona, Mramba wafunga utetezi mahakamani
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WAZIRI wa zamani wa Wizara ya Fedha, Basil Mramba, Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona na aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Gray Mgonja wamefunga utetezi na sasa wanasubiri hukumu ya mahakama.
Washtakiwa hao kupitia mawakili wao, Elisa Msuya na Beatus Malimi waliiarifu mahakama hiyo jana mbele ya Jopo la mahakimu watatu linaloongozwa na Jaji John Utamwa, kwamba kwa ushahidi uliotolewa hawaoni haja ya kuita shahidi mwingine.
Jopo hilo ni Majaji John...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Ataka kauli za “njoo kesho” zikome
![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n9yvc5iikhk/VkRef5L8scI/AAAAAAAIFaU/9ioazoxntZc/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MsbGWUE5i8k/VkRef35fTCI/AAAAAAAIFaQ/9qWmmq28q0o/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
10 years ago
MichuziWizara ya nishati na madini yatangaza utoaji ruzuku awamu ya pili, kwa wachimbaji wadogo, BRN kupima utekelezaji, tathmini