Mwakyembe apigwa mwezi mmoja kutoa majibu
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa mjini Mtwara katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mashujaa mjini humo akihitimisha ziara yake ya siku 16 aliyoifanya katika mikoa ya Lindi na Mtwara akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 inayotekelezwa na serikali kwa kushirikiana na wananchi wenyewe na kuhimiza uhai wa chama cha Mapinduzi CCM.
Katika ziara hiyo Katibu mkuu huyo aliongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 May
Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura
10 years ago
Mtanzania14 May
Mmoja apigwa risasi na jambazi Dar
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAM
MTU mmoja ambaye jina lake halikufahamika amepigwa risasi mbili na kuporwa fedha na mtu mmoja anayedhaniwa kuwa ni jambazi katika eneo la Kijiweni Karibu na Baa ya Delux, Sinza, Dar es Salaam.
Tukio hilo lilitokea jana ambako MTANZANIA lilifika na kuelezwa na mashuhuda wa tukio hilo waliodai lilikuwa la kushtukiza na lilitokea saa 6.00 mchana.
Akisimulia tukio hilo dereva aliyekuwa akiendesha gari lililoshambuliwa namba T 236 DDT aliyefahamika kwa jina moja la...
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Chamberlain kukaa nje mwezi mmoja
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mwezi mmoja wa uongozi wa Magufuli Tanzania
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Mwezi mmoja toka mauaji ya Baga Nigeria
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b0oGfXHtjzM/Vo0WkstDS2I/AAAAAAAIQ2Y/bvLFiaMwHMI/s72-c/3_28_o.jpg)
TRA YAONGEZA MWEZI MMOJA USAJILI WA PIKIPIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-b0oGfXHtjzM/Vo0WkstDS2I/AAAAAAAIQ2Y/bvLFiaMwHMI/s320/3_28_o.jpg)
Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) imesema imeongeza muda kwa usajili wa vyombo vya usafiri vya Pikipiki za magurudumu mawili na matatu mpaka Februari Mosi mwaka 2016.
Hayo yamesemwa leo na Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Alphayo Kidata alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari katika kikao chake cha kutoa taarifa kwa umma juu ya ukusanyaji wa kodi, Kaimu Kamishna Mkuu amesema wameamua kuongeza muda wa zoezi la usajili wa pikipiki ili kuiwapa nafasi wale...
10 years ago
GPLAMINI APATA PIGO LA TATU NDANI YA MWEZI MMOJA
11 years ago
GPLKICHANGA KILICHOOPOLEWA CHOONI TANGA CHATIMIZA MWEZI MMOJA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/2SyIV2fY7V0/default.jpg)