JK AOMBOLEZA KIFO CHA BABA MZAZI WA ASKOFU METHODIUS KILAINI
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLEDWARD LOWASSA AOMBOLEZA KIFO CHA MAMA MZAZI WA TIDO MHANDO
10 years ago
AllAfrica.Com08 Dec
In Defence of Bishop Methodius Kilaini Over Escrow Money
AllAfrica.com
IF there is something that has dominated news in Tanzania, especially in print and social media for the past two weeks or so, then it should be the Tegeta Escrow Account saga that has implicated big shots, including religious leaders. Various names have ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rTV1PPu3cHM/U4rm9MIdYKI/AAAAAAAFm4U/DGvUydPD5TM/s72-c/IMG-20140601-WA0000.jpg)
TAARIFA YA KIFO/MSIBA WA BABA MZAZI WA BEATRICE SINGANO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rTV1PPu3cHM/U4rm9MIdYKI/AAAAAAAFm4U/DGvUydPD5TM/s1600/IMG-20140601-WA0000.jpg)
MDAU WETU BEATRICE SINGANO WA VAIRTEL AMEONDOKEWA/AMEFIWA NA BABA YAKE MZAZI MPENDWA MZEE MOURICE NOEL SINGANO,
MZEE WETU M.N. SINGANO ALIFARIKI JANA TAREHE 31/05/2014. NCHINI INDIA - CHENNAI , MIPANGO YA MZISHI INAFANYIKA NYUMBANI KWA MTOTO WAKE MIKOCHENI B, DAR ES SALAAM.
KUFUATIA MSIBA HUO KUTAKUWA NA MISA MAALUM YA SIKU YA ALHAMISI KANISA LA MT. MARTHA MIKOCHENI DAR ES SALAAM.
MAZISHI YANATARAJIWA KUFANYIKA SIKU YA IJUMAA TAREHE 6/6/2014...
11 years ago
Habarileo29 Jul
Kikwete aomboleza kifo cha Kundya
RAIS Rais Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone, kuomboleza kifo cha aliyepata kuwa Naibu Waziri, Mbunge na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Mahami Kundya.
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Malinzi aomboleza kifo cha Marsh
11 years ago
Michuzi03 Jul
JK aomboleza kifo cha Nkwabi Ng’wanakilala
![Nkwabi-Ng’wanakilala](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/Nkwabi-Ng%E2%80%99wanakilala.jpg)
9 years ago
Dewji Blog05 Oct
JK aomboleza kifo cha Mchungaji Mtikila
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi na maombolezo kumlilia Mwenyekiti wa Chama cha Siasa cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila (pichani), ambaye alipoteza maisha katika ajali ya gari iliyotokea alfajiri ya leo, Jumapili, Oktoba 4, 2015, katika Kijiji cha Msolwa, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Katika salamu zake za rambirambi kwa Chama cha DP, Rais Kikwete amesema: “ Nimepokea kwa huzuni kubwa taarifa...
10 years ago
Habarileo05 Aug
Kikwete aomboleza kifo cha Mzee Kisumo
RAIS Jakaya Kikwete ameelezea kuhuzunishwa na kifo cha mmoja wa wanasiasa wakongwe nchini, Mzee Peter Kisumo ambaye alipata kuwa Mzee wa Chama cha TANU, Muasisi na mdhamini wa CCM na aliyeshikilia nafasi nyingi za uongozi ndani ya Serikali na utumishi wa umma ukiwemo uwaziri.
10 years ago
Habarileo21 Oct
JK aomboleza kifo cha Meja Jenerali Lupogo
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi na pole kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange kuomboleza kifo cha Meja Jenerali Herman Lupogo aliyeaga dunia Jumapili ya Oktoba 19, 2014, akiwa na umri wa miaka 76 katika Hospitali Kuu ya Jeshi ya Lugalo, Dar es Salaam ambako alikuwa anapata matibabu.