Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wanawake sasa hatarini Arusha’

>Wanawake wanaoendesha magari katika Jiji la Arusha, wamekumbwa na hofu kutokana na kuibuka watu  wasiojukikana ambao wanawashambulia kwa risasi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ukawa sasa hatarini kufutwa

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) sasa upo hatarini kufutwa kutokana na kutuhumiwa kutumika kuwachochea wajumbe kufanya vurugu katika Bunge la Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

Hifadhi ya Ngorongoro sasa hatarini kutoweka

Naibu Waziri Maliasili na Utalii, Mahmoud MgimwaHIFADHI ya Taifa ya Ngorongoro imetajwa kuwa ipo hatarini kutoweka, kutokana na mwingiliano wa watu kuwa mkubwa huku idara nyingi zikiongozwa na watu wasiostahili kuongoza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo kuhusu Gaza sasa hatarini

Pande zote mbili katika mazungumzo ya kusitisha vita katika eneo la Gaza zimeonya kuwa mpango wa mazungumzo hayo upo hatarini.

 

10 years ago

Mwananchi

Makanisa ya kihistoria Arusha hatarini!

Nilishwahi kuandika mara kadhaa juu ya umuhimu wa majengo kama maandishi yanayoelezea historia ya nchi na jamii na pia kuwaelezea wale walioyoyajenga, na kuelezea athari za kitamaduni zilizofika katika mji.

 

11 years ago

Habarileo

Wanawake hatarini kuota ndevu, wanaume matiti

IDARA ya Afya ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa imeonya wakazi wake wanaotumia vipodozi vilivyotengenezwa na viambata vyenye sumu aina ya ‘Steroids’.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanawake, watoto hatarini mgodini Geita maisha wawatesa waishio

Baadhi ya wanawake katika machimbo ya Nyarugusu wilayani Geita wakiwa wabeba watoto wao mgongoni wameendelea kufanya kazi ya kuponda mawe bila kujali maradhi yanayoweza kuwapata watoto wao.

 

11 years ago

Michuzi

ASILIMIA 25 YA WANAWAKE WAKO HATARINI KUPATA SARATANI YA SHINGO YA UZAZI.

 Mkurugenzi Mtendaji wa T-Marc Tanzania Diana Kisaka akizungumza na wadau kuhusu majukumu ya T-Marc.  Mkurugenzi Mtendaji wa T-Marc Tanzania Diana Kisaka akiwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayubu, mgeni rasmi wa uzinduzi wa mradi wa kuhamasisha jamii kuhusu huduma za uchunguzi wa Saratani ya Shingo ya Kizazi uliondaliwa na taasisi isiyo ya Kiserikali ya T- Marc Tanzania katika mkutano na wadau mbalimbali wa afya mkoa wa Iringa uliofanyika katika ukumbi wa chuo cha Veta.

 

11 years ago

Mwananchi

ULINGO sasa kuwakutanisha wanawake

 Ikiwa zimebakia siku saba kabla ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, tayari makundi kadhaa ya wanawake yameanza kujipanga kwa ajili ya maadhimisho hayo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake Marekani sasa kwenda vitani

Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter ametangaza kuwa nafasi zote za kazi za kijeshi za kivita sasa zitakuwa wazi pia kwa wanawake wa Marekani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani