Wanawake, watoto hatarini mgodini Geita maisha wawatesa waishio
Baadhi ya wanawake katika machimbo ya Nyarugusu wilayani Geita wakiwa wabeba watoto wao mgongoni wameendelea kufanya kazi ya kuponda mawe bila kujali maradhi yanayoweza kuwapata watoto wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Wajawazito, watoto walivyo hatarini katika migodi Geita
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wanafunzi hatarini kupata magonjwa ya mlipuko Geita
11 years ago
Dewji Blog09 Aug
Maisha ya waendesha Bodaboda hatarini
Ofisa wa Jeshi la Polisi Jijini Dar es Salaam akichukua funguo za Pikipiki wakati wa zoezi endelevu la kuwakamata waendesha Bodaboda, Zoezi hili kwa kiasi kikubwa limeongeza uhalifu mitaani.(Picha na maktaba).
Na Mwandishi wetu
Operesheni ya kukamata Pikipiki maarufu kama bodaboda zinazoingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam, imedaiwa kuhatarisha maisha ya watu kutokana na polisi kutozingatia usalama wa wapanda pikipiki hao wanapowakamata na kuwasababishia ajali.
Baadhi ya waandishi wa...
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Zitto: Maisha yetu hatarini
10 years ago
Vijimambo02 Nov
Maisha ya maelfu ya Watanzania yapo hatarini
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2507848/highRes/865465/-/maxw/600/-/5g85upz/-/daladala.jpg)
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Coronavirus: 'Maisha yangu yako hatarini kwasababu ya Corona'
10 years ago
Mwananchi11 Jan
MAISHA: Ngono, bangi ‘nje nje’ mgodini Ihanzutwa-2
11 years ago
Mwananchi09 Aug
‘Wanawake sasa hatarini Arusha’
9 years ago
StarTV29 Sep
Kichaa cha mbwa chazua hofu, maisha ya binadamu hatarini.
Ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa umeonekana kuwa hatari zaidi kwa maisha ya binadamu na mifugo kutokana na baadhi ya watu waliojeruhiwa kwa kung’atwa na mbwa kupoteza maisha hasa kwa kuchelewa kufika katika Hospitali kwa matibabu ya haraka.
Maeneo ya vijijini ndio yanaonekana na hatari kubwa kutokana na wingi wa wafugaji wanaotegemea mbwa kwa ulinzi wa mali zao huku jamii ikiwa bado haioni umuhimu wa kuwahudumia mbwa matibabu ya kiafya.
Kila ifikapo septemba 28 duniani huadhimisha siku ya kichaa...