Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makanisa ya kihistoria Arusha hatarini!

Nilishwahi kuandika mara kadhaa juu ya umuhimu wa majengo kama maandishi yanayoelezea historia ya nchi na jamii na pia kuwaelezea wale walioyoyajenga, na kuelezea athari za kitamaduni zilizofika katika mji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Wanawake sasa hatarini Arusha’

>Wanawake wanaoendesha magari katika Jiji la Arusha, wamekumbwa na hofu kutokana na kuibuka watu  wasiojukikana ambao wanawashambulia kwa risasi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Milipuko yalenga makanisa Pakistan

Mabomu mawili yamelipuka yakilenga makanisa mawili yaliyokuwa yamejaa watu kwenye mji wa Lahore chini Pakistan

 

11 years ago

Habarileo

Makanisa yaaswa kuombea amani

MAKANISA nchini yametakiwa kuendeleza amani iliyopo kwa kufanya maombi ya kuliombea Taifa ,ili amani iliyopo isivurugwe na baadhi ya watu wachache wasioitakia mema nchi hii.

 

11 years ago

Mtanzania

Waziri atangaza kufuta makanisa

Mathias Chikawe

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe

Na Gloria Tesha

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema atayafuta makanisa yote nchini ambayo yamekuwa yakitawaliwa na vurugu mara kwa mara.

Amesema pamoja na makanisa hayo kusajiliwa kwa ajili ya kumtumikia Mwenyezi Mungu, baadhi yamekuwa yakimtia aibu Mwenyezi Mungu, wanayemtumikia.

Chikawe aliyasema hayo jana alipokuwa akizungumza wakati wa maombi ya kuliombea taifa yaliyoandaliwa na Chama cha Kitume cha Karismatiki Katoliki,...

 

10 years ago

Mwananchi

JK, Ukawa leo, makanisa yaonya

>Wakati Rais Jakaya Kikwete akikutana na viongozi wa vyama vya siasa vinavyounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ili kuzungumzia mchakato wa Katiba, Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF), limesema amani ya nchi iko mikononi mwa kiongozi huyo mkuu wa nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya kudhibiti mienendo ya makanisa

Serikali ya Kenya yasimamisha usajili wa mashirika ya kidini ili kuthibiti mienendo ya mashirika hayo hatua iliyowakera baadhi ya viongozi

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yakerwa uchomaji makanisa

SERIKALI imetoa tamko juu ya mfululizo wa vitendo vya uchomaji makanisa vilivyoibuka hivi karibuni na kusema imeagiza dola ikaze uzi kukabili wimbi hilo. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema jana bungeni wakati akihitimisha michango ya wabunge kuhusu bajeti ya mwaka wa fedha 2014/15 ya ofisi yake iliyopitishwa jana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Makanisa matatu yateketezwa Tanzania

Makanisa tatu katika mkoa wa Kagera kaskazini magharibi mwa Tanzania yamechomwa na watu wasiojulikana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Idadi ya makanisa kudhibitiwa Burundi

Bunge la waakilishi nchini Burundi,limepitisha mswada unaodhamiria kupunguza ongezeko la makanisa nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani