Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Milipuko yalenga makanisa Pakistan

Mabomu mawili yamelipuka yakilenga makanisa mawili yaliyokuwa yamejaa watu kwenye mji wa Lahore chini Pakistan

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Southampton yalenga Ligi ya Mabingwa

Southampton ina malengo ya kushiriki michuano ya klabu bigwa ndani ya miaka mitano kwa mujibu wa mkurugenzi mtendaji Les Reed.

 

10 years ago

BBCSwahili

Somalia yalenga kushiriki mechi za CAF

Rais wa shirikisho la soka Somalia Adbi Qani anatumai kwamba taifa lake litashiriki katika michuano ya kombe la Afrika mwaka 2019

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Mashambulio dhidi ya Idlib yalenga shule na hospitali'

Makundi ya kutetea haki za binadamu yanasema kuwa takriban raia 20 Idlib, miongoni mwao watoto tisa

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya vifaa vya kielektroniki Samsung yalenga kukuza uchumi wa jiji la Arusha

Mike-and-Nawaz-Swahili

Kampuni ya Samsung inazindua rasmi  duka kubwa na kituo chake cha huduma kwa wateja lililopo barabara ya Sokoine mjini Arusha siku ya leo. Uzinduzi huo utawawezesha wateja wake wote mkoani Arusha kupata huduma stahiki na bidhaa halisi za Samsung. Kituo hiki ni cha kwanza kuzinduliwa mkoani Arusha na kampuni hii yenye idadi kubwa ya watumiaji na vifaa bora vya kielektroniki ulimwenguni.

“Mtazamo wa maisha ya wateja hubadilika kwa kasi kubwa na kuwafanya kuongeza mahitaji ya bidhaa na huduma...

 

10 years ago

Mwananchi

Makanisa ya kihistoria Arusha hatarini!

Nilishwahi kuandika mara kadhaa juu ya umuhimu wa majengo kama maandishi yanayoelezea historia ya nchi na jamii na pia kuwaelezea wale walioyoyajenga, na kuelezea athari za kitamaduni zilizofika katika mji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Makanisa matatu yateketezwa Tanzania

Makanisa tatu katika mkoa wa Kagera kaskazini magharibi mwa Tanzania yamechomwa na watu wasiojulikana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya kudhibiti mienendo ya makanisa

Serikali ya Kenya yasimamisha usajili wa mashirika ya kidini ili kuthibiti mienendo ya mashirika hayo hatua iliyowakera baadhi ya viongozi

 

11 years ago

Mtanzania

Waziri atangaza kufuta makanisa

Mathias Chikawe

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe

Na Gloria Tesha

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema atayafuta makanisa yote nchini ambayo yamekuwa yakitawaliwa na vurugu mara kwa mara.

Amesema pamoja na makanisa hayo kusajiliwa kwa ajili ya kumtumikia Mwenyezi Mungu, baadhi yamekuwa yakimtia aibu Mwenyezi Mungu, wanayemtumikia.

Chikawe aliyasema hayo jana alipokuwa akizungumza wakati wa maombi ya kuliombea taifa yaliyoandaliwa na Chama cha Kitume cha Karismatiki Katoliki,...

 

10 years ago

Mwananchi

JK, Ukawa leo, makanisa yaonya

>Wakati Rais Jakaya Kikwete akikutana na viongozi wa vyama vya siasa vinavyounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ili kuzungumzia mchakato wa Katiba, Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF), limesema amani ya nchi iko mikononi mwa kiongozi huyo mkuu wa nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani