Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Somalia yalenga kushiriki mechi za CAF

Rais wa shirikisho la soka Somalia Adbi Qani anatumai kwamba taifa lake litashiriki katika michuano ya kombe la Afrika mwaka 2019

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

CAF:Morocco kushiriki katika michuano

Shirikisho la soka barani Africa CAF limethibitisha kuwa Morocco itashiriki katika mechi za kufuzu kwa dimba la Afrika mwaka 2017.

 

10 years ago

Michuzi

MAKOCHA 35 KUSHIRIKI KOZI YA LESENI C YA CAF

Makocha 35 wameteuliwa kushiriki kozi ya ukocha ya Leseni C ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) itakayofanyika mjini Morogoro kuanzia Novemba 5 hadi 19 mwaka huu.
Kozi hiyo itaendeshwa na Mkufunzi wa CAF, Sunday Kayuni na itafanyikia Mchikichini College ambapo washiriki wote wanatakiwa kuwasilisha vyeti vyao vya ukocha vya ngazi ya Kati (Intermediate) pamoja na vyeti vya kitaaluma vya elimu ya sekondari (academic).
Washiriki wa kozi hiyo ni Abdulmaliki Nemes (Airport FC), Ahmed Haule...

 

11 years ago

BBC

Caf mourns ex-Somalia captain Shangole

The Confederation of African football pays tribute to Somalia's first captain Mohamed Qalaf Aden Shangole, who has died.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rwiza, Kessy kusimamia mechi za CAF

SHRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limewateua Watanzania Alfred Rwiza na Lina Kessy kuwa makamishna wa mechi za shirikisho hilo zitakazochezwa wikiendi ya Februari 14. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa...

 

11 years ago

GPL

Mechi tano za Yanga zaiondoa Simba Caf

Na Sweetbert Lukonge
ENDAPO  Yanga na Azam zitafanikiwa kushinda mechi zake tano kati ya tisa zilizobakiza, zitakuwa zimeinyima Simba nafasi ya kushiriki tena michuano ya kimataifa inayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf). Msimu uliopita Simba ilikosa nafasi ya kushiriki michuano hiyo ya kimataifa baada ya kushindwa kufanya vizuri ligi kuu na kuziacha Yanga na Azam zikiiwakilisha Tanzania kwenye michuano hiyo ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

CAF yairuhusu Sierra Leone kuandaa mechi

Shirikisho la soka barani Afrika (Caf) limesema Sierra Leone sasa iko huru kuwa mwenyeji wa mechi za kimataifa na kanda.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi lashinda mechi ya kihistoria Somalia

Historia imeandikwa katika ulimwengu wa soka Somalia baada ya mechi ya nyumbani kuonyeshwa moja kwa moja kwenye runinga.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mechi kuonyeshwa runingani mara ya kwanza Somalia

Mechi ya mpira wa kandanda ya klabu za nyumbani itapeperushwa moja kwa moja kupitia runinga kwa mara ya kwanza katika historia ya Somalia leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani