MAKOCHA 35 KUSHIRIKI KOZI YA LESENI C YA CAF
Makocha 35 wameteuliwa kushiriki kozi ya ukocha ya Leseni C ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) itakayofanyika mjini Morogoro kuanzia Novemba 5 hadi 19 mwaka huu.
Kozi hiyo itaendeshwa na Mkufunzi wa CAF, Sunday Kayuni na itafanyikia Mchikichini College ambapo washiriki wote wanatakiwa kuwasilisha vyeti vyao vya ukocha vya ngazi ya Kati (Intermediate) pamoja na vyeti vya kitaaluma vya elimu ya sekondari (academic).
Washiriki wa kozi hiyo ni Abdulmaliki Nemes (Airport FC), Ahmed Haule...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Kozi ya makocha leseni B yaanza Dar
MAKAMU wa Rais wa Shirikisho la Soka (TFF), Wallace Karia, jana alifungua kozi ya makocha wa soka ya Leseni B inayotambuliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Uzinduzi wa kozi...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MxTtU2TR6YM/VgFVyO8V6MI/AAAAAAABIT4/ZByST_qwwsM/s72-c/MALINZI.jpg)
MALINZI AFUNGA KOZI YA MAKOCHA LESENI C’ATOA ANGALIZO KWA WAHITIMU KUYATUMIA MAFUNZO KWA VITENDO
![](http://4.bp.blogspot.com/-MxTtU2TR6YM/VgFVyO8V6MI/AAAAAAABIT4/ZByST_qwwsM/s640/MALINZI.jpg)
RAIS wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya wiki mbili ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kufunga mafunzo hayo, Malinzi amesema kuwa anasikitika kuona makocha wanapata mafunzo kama hayo lakini wanaenda kuweka vyeti vyao ‘makabatini’ na kuacha kufanyia kazi walichojifunza.
“Hiki mlichokipata kwenye mafunzo haya mnatakiwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x498sbRNpqQ/VnK8AnGdrfI/AAAAAAAINIc/ycTXpcUqlgA/s72-c/rambirambmsibawaMadega.jpg)
MREFA YAANDAA KOZI YA LESENI C
![](http://4.bp.blogspot.com/-x498sbRNpqQ/VnK8AnGdrfI/AAAAAAAINIc/ycTXpcUqlgA/s640/rambirambmsibawaMadega.jpg)
Jumla ya makocha 46 kutoka katika kanda ya Nyanda za Juu Kusini wanatazamiwa kushiriki kozi hiyo ya wiki mbili, ambayo itaendeshwa na wakufunzi Kidao Wilfred na Salum Madadi.
Washiriki wa kozi hiyo ni Mussa Kasalika, Steven Viera, Golya, Mlekwa, Matokeo Sigalla, Ernest Nkandi,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XaHkIQcnBco/VEj-dTOU_oI/AAAAAAAGs8o/lO6wuVzA_v4/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-10-23%2Bat%2B4.10.03%2BPM.png)
RAIS WA TOC KUFUNGA KOZI YA MAKOCHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XaHkIQcnBco/VEj-dTOU_oI/AAAAAAAGs8o/lO6wuVzA_v4/s1600/Screen%2BShot%2B2014-10-23%2Bat%2B4.10.03%2BPM.png)
Hafla ya ufungaji kozi hiyo iliyoshirikisha makocha 32 kutoka Tanzania Bara na Zanzibar na kuandaliwa na TOC kupitia Olympic Solidarity kwa ushirikiano na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) itafanyika saa 5 asubuhi kwenye hosteli za TFF zilizopo Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.
Kozi hiyo ya wiki mbili iliyoanza Oktoba 12...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AqE7PsJYFdI/VY0kXctFiUI/AAAAAAAHkNQ/wrvxjJ1mqP8/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
TFF YAFUNGUA KOZI YA MAKOCHA WA VIJANA
Akifungua kozi hiyo, Katibu Mkuu wa TFF Mwesigwa Selestine amesema ili nchi/Taifa lifanikiwe katika soka ni lazima kuwekeza katika mpira wa watoto na vijana ambao makocha hao ni sehemu ya uwekezaji huo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-AqE7PsJYFdI/VY0kXctFiUI/AAAAAAAHkNQ/wrvxjJ1mqP8/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BNHhOvTmVBg/U8uPFTLdhSI/AAAAAAAF32c/cARAkOjckw0/s72-c/download.jpg)
KOZI YA UKOCHA LESENI A SASA KUFANYIKA AGOSTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-BNHhOvTmVBg/U8uPFTLdhSI/AAAAAAAF32c/cARAkOjckw0/s1600/download.jpg)
Marekebisho hayo yamefanyika kutokana na maelekezo ya CAF ambayo ndiyo itakayosimamia na kuendesha kozi hiyo itakayoshirikisha makocha wenye leseni B za shirikisho hilo.
Tarehe rasmi ya kuanza kozi hiyo itatangazwa wiki ijayo. Mwezi uliopita Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa...
9 years ago
Michuzi12 Sep
DRFA YAZINDUA KOZI YA WIKI MBILI YA MKOCHA WA LESENI C’
10 years ago
GPLMAKOCHA WACHAGUA VIJANA KUSHIRIKI MICHUANO YA TAIFA U-12
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Somalia yalenga kushiriki mechi za CAF