Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Southampton yalenga Ligi ya Mabingwa

Southampton ina malengo ya kushiriki michuano ya klabu bigwa ndani ya miaka mitano kwa mujibu wa mkurugenzi mtendaji Les Reed.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ligi ya Mabingwa 2013-2014

Hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya 2013/14 itaendelea kesho na keshokutwa.

 

11 years ago

Mwananchi

CDA chupuchupu Ligi ya Mabingwa

>Klabu ya soka ya CDA ya Dodoma imenusurika kichapo mbele ya African Sports ya Tanga, huku Kiluvya FC ikiendeleza kugawa pointi katika Ligi ya Mabingwa wa mikoa inayoendelea kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

9 years ago

GPL

MAKUNDI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Kundi A
1. Paris St-Germain
2. Real Madrid
3. Shakhtar Donetsk
4. Malmö FF
Kundi B
1. PSV Eindhoven
2. Manchester United
3. CSKA Moscow
4. Wolfsburg Kundi C
1. Benfica
2. Atlético Madrid
3. Galatasaray
4. Astana Kundi D
1. Juventus
2. Manchester City
3. Sevilla
4. B.Mö’gladbach Kundi E
1. Barcelona
2. Bayer Leverkusen
3. Roma
4. BATE Borisov
Kundi F
1. Bayern Munich
...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni kivumbi ligi ya mabingwa Ulaya

Michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya itaendelea jumanne.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yapangwa na mchekea Ligi ya Mabingwa

SHIRIKISHO la soka Afrika (CAF) jana lilitoa ratiba ya michuano ya kimataifa mwakani ambapo Yanga imepangwa kuanza na Cercle de Joachim ya Mauritius. Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Yanga inayoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, itaanza hatua ya awali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi ya mabingwa sare zatawala ufunguzi

Mechi mbili za kwanza katika hatua ya kumi na sita bora ya michuano ya ligi ya mabingwa ulaya zimemalizika kwa sare.

 

11 years ago

BBCSwahili

Droo ya ligi kuu ya mabingwa ni leo

Droo ya ligi kuu ya mabingwa Uropa kufanyika leo

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI YA MABINGWA: Azam yaizima El Merreikh

>Mabingwa wa Tanzania Bara, Azam FC wameanza kwa kishindo Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuichapa El Merreikh kwa mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani