Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania na wasomi wasiokuwa na maadili, wanaofilisi nchi

“..Tunatumia fedha nyingi sana zisizolingana na uwezo wetu kuwasomesha watu wachache, ili baadaye na wao walete faida kubwa kiasi hicho hicho katika nchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wasomi wa vyeti wataiendeleza nchi yetu?

Nchi nyingi za Afrika ikiwamo Tanzania, ina mifumo ya shule inayotoa elimu bandia na hatimaye wasomi bandia.

 

10 years ago

GPL

WASOMI NDIYO WANAITAFUNA NCHI HII!

Makala: Sifael Paul
Hatuwezi kunyamaza! Kuhusu uchotwaji wa fedha nyingi za umma, za wavuja jasho Watanzania kiasi cha Sh. bilioni 306 zilizopotea katika Akaunti ya Tegeta Escrow kwenye Benki Kuu ya Tanzania kwa ajili ya kununulia umeme wa Kampuni ya IPTL, pasi na shaka utakubaliana nami kuwa wasomi ndiyo wanaoitafuna nchi hii. Profesa Sospeter Muhongo. Hii ni kashfa kubwa hasa inapoonekana wajanja wachache ambao ni wezi...

 

10 years ago

Mwananchi

‘TCRA lindeni maadili ya nchi’

Makamu wa Rais Dk Mohammed Gharib Bilal ameitaka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuhakikisha kuwa chaneli zote za runinga zinatoa mafundisho yanayoendana na maadili kwa ustawi wa maendeleo ya Taifa.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AMTUNUKU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MBARAK ABDULWAKIL NISHANI YA UTUMISHI MREFU NA MAADILI MEMA DARAJA LA (I)

Rais Jakaya Kikwete (kushoto), akimvisha Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I), Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, wakati wa sherehe ya kutunuku Nishani iliyofanyika kwenye Ukumbi mpya wa Mikutano Ikulu, jijini Dar es Salaam. Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.Rais Jakaya Kikwete (kushoto), akimpongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, baada ya kumvisha Nishani ya Utumishi Mrefu na...

 

9 years ago

Bongo5

Website maarufu ya Marekani Buzzfeed yaitaja Tanzania nchi ya 8 katika nchi 20 zinazovutia duniani

enhanced-7309-1430834722-9

Website maarufu ya Marekani, Buzzfeed imeitaja Tanzania kuwa ni nchi ya nane katika orodha yake ya nchi 20 zinazovutia zaidi duniani.

enhanced-7309-1430834722-9

Afrika Kusini imekata nafasi ya kwanza kwenye orodha hiyo.

Kuhusu Tanzania website hiyo imeandika:

Land of the Serengeti, Lake Victoria, Lake Natron and Lake Manyara, the Ngorongoro Crater, Zanzibar, the Spice Islands, Dar Es Salaam and a million more, Tanzania is almost beyond belief.

Mount Kilimanjaro rises over 3 miles above the surrounding plains, making...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasomi ni sehemu ya tatizo Tanzania

WASOMI vijana wanaozidi 10,000, juzi walijitokeza katika usaili ulioitishwa na Idara ya Uhamiaji iliyopo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kwa lengo la kuwania nafasi zipatazo 70,...

 

10 years ago

Vijimambo

WAKUU WA IDARA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPA ZAWADI KATIBU MKUU WAO BAADA YA KUTUNIKIWA NISHANI YA UTUMISHI MREFU NA MAADILI MEMA DARAJA LA (I)

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kulia) akimkabidhi zawadi ya Ngao ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema, Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, kwa niaba ya Wakuu wa Idara na Vitengo wizarani humo. Zawadi hiyo ya kushtukiza iliandaliwa na viongozi hao wa Idara baada ya hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete kumvisha Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I), Katibu Mkuu wao katika tukio lililofanyika Ikulu, jijini Dar es Salaam. Kushoto ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania ‘yajifagilia’ kuwa na wanawake wasomi

Tatizo la wanafunzi wa kike kutochangamkia au kutoyapenda masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) ni tatizo linalozikumba nchini nyingi duniani zikiwamo zilizoendelea.

 

5 years ago

Michuzi

Wajumbe wa Baraza la Maadili wafanya Ziara Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma

Kamishna wa Maadili, Jaji (Mst) Harold Nsekela ( wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Maadili walipofanya ziara yao katika Ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Makao Makuu Dodoma hivi karibuni kwa lengo la kujifunza. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Baraza hilo, Jaji (Mst) Ibrahim Mipawa akifuatiwa na Immaculate Ngwalle na kushoto kwa Kamishna, Peter Ilomo.Kamishna wa Maadili, Jaji (Mst) Harold Nsekela akitoa neno la ukaribisho kwa Wajumbe wa Baraza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani