Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASOMI SONGEA WAMTAJA ABATE LAMBERT KUWA MWANAHISTORIA WA KARNE YA 21


 Abate mstaafu wa Abasia ya Peramiho Jimbo kuu katoliki la Songea Lambert Doerr OSB katikati wa kati akipokea zawadi mbalimbali kutoka kwa Waumini wa Parokia ya Mbingamharule Wilayani Songea Mkoani Ruvuma,kama sehemu ya kumpongeza baada ya kutimiza miaka 50 ya Umisionari hapa Nchini.
Waumini wa Parokia ya Mbingamharule Jimbo kuu katoliki la Songea mkoani Ruvuma,wakifuatilia kwa makini adhimisho la misa Takatifu ya shukurani ya kutimiza miaka 50 ya Umisionari ya Abate mstaafu wa Abasia ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

VIJANA NCHINI TANZANIA WAMTAJA MWIGULU NCHEMBA KUWA NDIYE RAIS MPYA WANAYEMTEGEMEA,ASIFIKA KWA KUSIMAMIA KIDETE MASLAHI YA NCHI

 Nyota ya Mwigula yazidi kung'ara urais
*Vijana wataka chama chake kimpe nafasi

Claudia Kayombo
WAKATI vyama vya siasa havijatangaza majina ya wagombea urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, vijana mbalimbali wameanza kutoa maoni ya nani anafaa kumrithi Rais Jakaya Kikwete.

Vijana wengi wamesema kuwa, Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba, ndiye anayestahili kumrithi Rais Kikwete kutokana na utendaji wake wa kazi.

Hatua ya vijana kumtaja Nchemba, ni mwendelezo...

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi watakiwa kuwa makini

VIJANA wasomi nchini wametakiwa kutokuwa chambo na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa kutaka madaraka ya nchi bali wawaepuke hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania ‘yajifagilia’ kuwa na wanawake wasomi

Tatizo la wanafunzi wa kike kutochangamkia au kutoyapenda masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) ni tatizo linalozikumba nchini nyingi duniani zikiwamo zilizoendelea.

 

9 years ago

BBCSwahili

Lambert kocha mpya Blackburn Rovers

Paul Lambert Kocha wa zamani wa Aston Villa amekuwa kocha mpya wa klabu ya Blackburn Rovers badala ya Gary Bowyer.

 

10 years ago

Michuzi

Jeshi la polisi nchini lathibitisha kuwa mlipuko uliowajeruhi askari polisi Songea ni bomu la kienyeji

Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai kamishina wa polisi Isaya Mngulu akizungumza na waandishi wa habari leo mjini mjini Songea mkoani Ruvuma---------------------Na Nathan Mtega wa demasho.com,Songea
JESHI la polisi chini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa kinadaiwa kuwa nio bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16 mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na kuwajeruhi askari polisi watatu kati ya wanne waliokuwa doria kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono...

 

9 years ago

Bongo5

Paul Lambert ateuliwa kocha mpya Blackburn Rovers

paul-lambert_a_2654666b

Aliyekuwa kocha wa zamani wa Aston Villa Paul Lambert ameteuliwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Blackburn Rovers baada ya Gary Bowyer kufutwa kazi.

paul-lambert_a_2654666b

Lambert mwenye umri wa miaka 46 alifukuzwa na klabu hiyo ya Aston Villa mwezi Februari ambapo anasema kuwa kwa kipindi kifupi ambacho amekuwa nje ya timu hiyo anajiona aliyeimarika zaidi na kwamba kwa sasa anaangalia mbele.

Bowyer alitimuliwa kutokana na kufanya vibaya kwa klabu hiyo. Kati ya mechi 10 za ligi walizocheza alishinda mbili tu na...

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

No, Miranda Lambert Is Not Getting Pregnant to Seek Revenge on Blake Shelton

No, Miranda Lambert Is Not Getting Pregnant to Seek Revenge on Blake Shelton  Showbiz Cheat SheetMiranda Lambert Flaunts Her Curves In A Denim Mini Skirt  The InquisitrView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Vijimambo

Simba, Yanga za karne ya 21.

Tangu 2000, Simba imeifunga Yanga mara 11, Yanga ikishinda mechi tano tu, huku wachezaji waliowahi kufunga mabao katika mechi kati ya miamba hao waliosalia vikosini humo ni watatu tu.Wakati mechi ya watani wa jadi ikitarajiwa kuchezwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, timu ya Simba inaongoza kwa kuifunga Yanga mara nyingi zaidi kwenye karne ya 21.

Kwa mujibu wa rekodi zetu tangu kuingia mwaka 2000, Simba imeifunga Yanga mara 11, sare mara 15, huku Yanga ikishinda mechi...

 

11 years ago

GPL

NDOA YA KARNE BONGO

Mzee Nkwabi Ngobola Kapimbi (91) baada ya kufunga pingu za maisha na mkewe Maria Mkiwa (78). Jelard Lucas na Hamida Hassan
Mwaka mpya mambo mapya.
Katika tukio linaloweza kuitwa kama ndoa ya karne, mzee mmoja mwenye umri wa miaka 91, Nkwabi Ngobola Kapimbi, wiki iliyopita alifunga pingu za maisha na mkewe Maria Mkiwa (78) mbele ya mchungaji Thobias Shilole wa Kanisa la Maombezi huko Kibaha mkoani Pwani.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani