WASOMI SONGEA WAMTAJA ABATE LAMBERT KUWA MWANAHISTORIA WA KARNE YA 21
Abate mstaafu wa Abasia ya Peramiho Jimbo kuu katoliki la Songea Lambert Doerr OSB katikati wa kati akipokea zawadi mbalimbali kutoka kwa Waumini wa Parokia ya Mbingamharule Wilayani Songea Mkoani Ruvuma,kama sehemu ya kumpongeza baada ya kutimiza miaka 50 ya Umisionari hapa Nchini.
Waumini wa Parokia ya Mbingamharule Jimbo kuu katoliki la Songea mkoani Ruvuma,wakifuatilia kwa makini adhimisho la misa Takatifu ya shukurani ya kutimiza miaka 50 ya Umisionari ya Abate mstaafu wa Abasia ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo05 Jan
VIJANA NCHINI TANZANIA WAMTAJA MWIGULU NCHEMBA KUWA NDIYE RAIS MPYA WANAYEMTEGEMEA,ASIFIKA KWA KUSIMAMIA KIDETE MASLAHI YA NCHI
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10906524_1534701896785266_2251235586334794179_n.jpg?oh=35f6e1462487023744e386cb8cf9d278&oe=55299967&__gda__=1429597534_886fd6c4005f2138cf2796df26c47505)
*Vijana wataka chama chake kimpe nafasi
Claudia Kayombo
WAKATI vyama vya siasa havijatangaza majina ya wagombea urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, vijana mbalimbali wameanza kutoa maoni ya nani anafaa kumrithi Rais Jakaya Kikwete.
Vijana wengi wamesema kuwa, Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba, ndiye anayestahili kumrithi Rais Kikwete kutokana na utendaji wake wa kazi.
Hatua ya vijana kumtaja Nchemba, ni mwendelezo...
10 years ago
Habarileo24 Feb
Wasomi watakiwa kuwa makini
VIJANA wasomi nchini wametakiwa kutokuwa chambo na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa kutaka madaraka ya nchi bali wawaepuke hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Tanzania ‘yajifagilia’ kuwa na wanawake wasomi
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Lambert kocha mpya Blackburn Rovers
10 years ago
MichuziJeshi la polisi nchini lathibitisha kuwa mlipuko uliowajeruhi askari polisi Songea ni bomu la kienyeji
JESHI la polisi chini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa kinadaiwa kuwa nio bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16 mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na kuwajeruhi askari polisi watatu kati ya wanne waliokuwa doria kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono...
9 years ago
Bongo517 Nov
Paul Lambert ateuliwa kocha mpya Blackburn Rovers
![paul-lambert_a_2654666b](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/paul-lambert_a_2654666b-300x194.jpg)
Aliyekuwa kocha wa zamani wa Aston Villa Paul Lambert ameteuliwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Blackburn Rovers baada ya Gary Bowyer kufutwa kazi.
Lambert mwenye umri wa miaka 46 alifukuzwa na klabu hiyo ya Aston Villa mwezi Februari ambapo anasema kuwa kwa kipindi kifupi ambacho amekuwa nje ya timu hiyo anajiona aliyeimarika zaidi na kwamba kwa sasa anaangalia mbele.
Bowyer alitimuliwa kutokana na kufanya vibaya kwa klabu hiyo. Kati ya mechi 10 za ligi walizocheza alishinda mbili tu na...
5 years ago
Showbiz Cheat Sheet22 Mar
No, Miranda Lambert Is Not Getting Pregnant to Seek Revenge on Blake Shelton
9 years ago
Vijimambo23 Sep
Simba, Yanga za karne ya 21.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/SY.png)
Kwa mujibu wa rekodi zetu tangu kuingia mwaka 2000, Simba imeifunga Yanga mara 11, sare mara 15, huku Yanga ikishinda mechi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOSGPuSC1BPYQaXkXwC5k5fQAjmDPu*V7GHLcFea1WNFwC4vYqi4rGLahrVMKlWmNbgaXfGjAwwnWDjAwfXRU0gx/ndoa.jpg?width=650)
NDOA YA KARNE BONGO