Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lambert kocha mpya Blackburn Rovers

Paul Lambert Kocha wa zamani wa Aston Villa amekuwa kocha mpya wa klabu ya Blackburn Rovers badala ya Gary Bowyer.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Paul Lambert ateuliwa kocha mpya Blackburn Rovers

paul-lambert_a_2654666b

Aliyekuwa kocha wa zamani wa Aston Villa Paul Lambert ameteuliwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Blackburn Rovers baada ya Gary Bowyer kufutwa kazi.

paul-lambert_a_2654666b

Lambert mwenye umri wa miaka 46 alifukuzwa na klabu hiyo ya Aston Villa mwezi Februari ambapo anasema kuwa kwa kipindi kifupi ambacho amekuwa nje ya timu hiyo anajiona aliyeimarika zaidi na kwamba kwa sasa anaangalia mbele.

Bowyer alitimuliwa kutokana na kufanya vibaya kwa klabu hiyo. Kati ya mechi 10 za ligi walizocheza alishinda mbili tu na...

 

10 years ago

Mwananchi

Beki wa Blackburn Rovers atua Yanga

Yanga imempokea beki mkongwe wa Afrika Kusini, Aaron Mokoena tayari kufanya majaribio ya kusaka nafasi ya kujiunga na mabingwa wapya Ligi Kuu Bara.

 

11 years ago

GPL

KOCHA MPYA STARS

Martinus Ignatius "Mart" Nooij. Kocha mpya wa Taifa Stars ni Mholanzi, Martinus Ignatius "Mart" Nooij anayetarajiwa kutambulishwa rasmi Machi 24 mwaka huu na Rais wa TFF, Jamal Malinzi! CHANZO NI BIN ZUBEIRY…

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

No, Miranda Lambert Is Not Getting Pregnant to Seek Revenge on Blake Shelton

No, Miranda Lambert Is Not Getting Pregnant to Seek Revenge on Blake Shelton  Showbiz Cheat SheetMiranda Lambert Flaunts Her Curves In A Denim Mini Skirt  The InquisitrView Full coverage on Google News

 

10 years ago

BBC

Blackburn sign midfielder Akpan

Blackburn Rovers sign midfielder Hope Akpan on a two-year deal from Championship rivals Reading.

 

11 years ago

BBCSwahili

Man City yailaba Rovers FA 5 - 0

Klabu ya Manchester City imeiisambaratisha Blackburn Rovers kwa jumla ya mabao 5 - 0 katika mechi ya FA.

 

11 years ago

Dewji Blog

Inzaghi Kocha Mpya AC Milan

filippo-inzaghi

 

Filippo Inzaghi.

By Israel Saria

AC Milan wamemfukuza kazi Kocha Clarence Seedorf na kumpa kazi hiyo Filippo Inzaghi.

Seedorf amefukuzwa kazi ikiwa ni pungufu ya miezi mitano tu tangu achaguliwe kushika nafasi hiyo kwa klabu inayocheza Ligi Kuu ya Italia – Serie A.

Mdachi huyu mwenye umri wa miaka 37 alipewa mikoba kwenye klabu aliyochezea kwa miaka 10 tangu 2002.

Inzaghi naye ni mkongwe aliyechezea AC Milan lakini hajapata kufundisha timu iliyo katika ligi kuu. Alikuwa akifundisha timu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Liverpool kupata kocha mpya?

Klabu ya Liverpool inakaribia kumteua meneja wa zamani wa klabu ya Borussia Dortmund Jurgen Klopp.

 

11 years ago

BBCSwahili

Zambia yapata kocha mpya

Timu ya taifa ya Zambia imepata kocha mpya, Honour Janza baada ya Patrice Beaumelle kuiaga timu hiyo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani