Lambert kocha mpya Blackburn Rovers
Paul Lambert Kocha wa zamani wa Aston Villa amekuwa kocha mpya wa klabu ya Blackburn Rovers badala ya Gary Bowyer.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Nov
Paul Lambert ateuliwa kocha mpya Blackburn Rovers
![paul-lambert_a_2654666b](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/paul-lambert_a_2654666b-300x194.jpg)
Aliyekuwa kocha wa zamani wa Aston Villa Paul Lambert ameteuliwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Blackburn Rovers baada ya Gary Bowyer kufutwa kazi.
Lambert mwenye umri wa miaka 46 alifukuzwa na klabu hiyo ya Aston Villa mwezi Februari ambapo anasema kuwa kwa kipindi kifupi ambacho amekuwa nje ya timu hiyo anajiona aliyeimarika zaidi na kwamba kwa sasa anaangalia mbele.
Bowyer alitimuliwa kutokana na kufanya vibaya kwa klabu hiyo. Kati ya mechi 10 za ligi walizocheza alishinda mbili tu na...
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Beki wa Blackburn Rovers atua Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA MPYA STARS
5 years ago
Showbiz Cheat Sheet22 Mar
No, Miranda Lambert Is Not Getting Pregnant to Seek Revenge on Blake Shelton
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/189E/production/_84820360_hope_akpan.jpg)
Blackburn sign midfielder Akpan
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Man City yailaba Rovers FA 5 - 0
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Inzaghi Kocha Mpya AC Milan
Filippo Inzaghi.
By Israel Saria
AC Milan wamemfukuza kazi Kocha Clarence Seedorf na kumpa kazi hiyo Filippo Inzaghi.
Seedorf amefukuzwa kazi ikiwa ni pungufu ya miezi mitano tu tangu achaguliwe kushika nafasi hiyo kwa klabu inayocheza Ligi Kuu ya Italia – Serie A.
Mdachi huyu mwenye umri wa miaka 37 alipewa mikoba kwenye klabu aliyochezea kwa miaka 10 tangu 2002.
Inzaghi naye ni mkongwe aliyechezea AC Milan lakini hajapata kufundisha timu iliyo katika ligi kuu. Alikuwa akifundisha timu...
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Liverpool kupata kocha mpya?
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Zambia yapata kocha mpya